Ujinga wa Leo mwachie Kayoko mwenyewe. Sijawahi kuona refa unaweka offside mpira ambao msaidizi wake wa pembeni kasema ni onside.Niwaombe sana TFF kutumia Azam TV kama VAR. Itasaidia sana kuondoa uamuzi wa kijinga kama uliofanyika leo 26.11.2022 kati ya Yanga na Mbeya City.
Mtakuwa.mmefanya mapinduzi makubwa sana kwenye mpira wa Tanzania.
Hairuhusiwi na Fifa kwa ligi yeyote kutumia VAR yake binafsi.
Huyu Kayoko Ni nyoko sanaUjinga wa Leo mwachie Kayoko mwenyewe. Sijawahi kuona refa unaweka offside mpira ambao msaidizi wake wa pembeni kasema ni onside.
Mlivyokuwa mnapewa magoli ya dhulma mlikaa kimyaa leo yamewakuta ndo mnataka VAR ile mechi ya AZAM ilikuwa mnakufa hata goli nne mpira unachezwa nje ya uwanja refa anaangalia tu.Niwaombe sana TFF kutumia Azam TV kama VAR. Itasaidia sana kuondoa uamuzi wa kijinga kama uliofanyika leo 26.11.2022 kati ya Yanga na Mbeya City.
Mtakuwa.mmefanya mapinduzi makubwa sana kwenye mpira wa Tanzania.
Prison vs SimbaMlivyokuwa mnapewa magoli ya dhulma mlikaa kimyaa leo yamewakuta ndo mnataka VAR ile mechi ya AZAM ilikuwa mnakufa hata goli nne mpira unachezwa nje ya uwanja refa anaangalia tu.
Huyu dogo sijuI ana undugu na nani pale TFF! Naona wanamlea sana.Ujinga wa Leo mwachie Kayoko mwenyewe. Sijawahi kuona refa unaweka offside mpira ambao msaidizi wake wa pembeni kasema ni onside.