wazunguwawili
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 3,984
- 4,131
Kitendo cha kufanyia kikao cha kawaida cha kamati ya utendaji ya TFF huko zenji tena kwenye hotel Verde ni ufisadi tu.
Hii tabia ya hawa viongozi wa TFF inabidi sasa ikemewe.
Nchi ambayo bado inachangamoto nyingi za maendeleo ya mpira.
Wao imekuwa ni tabia kutumia fedha isivyo faa bila tena bila kuzionea huruma..wanazitumbua tu.
Tunakemea vikali sana... kuna viongoz wenzenu walishapelekwa mahakamani.
Bado zamu yenu.
Hii tabia ya hawa viongozi wa TFF inabidi sasa ikemewe.
Nchi ambayo bado inachangamoto nyingi za maendeleo ya mpira.
Wao imekuwa ni tabia kutumia fedha isivyo faa bila tena bila kuzionea huruma..wanazitumbua tu.
Tunakemea vikali sana... kuna viongoz wenzenu walishapelekwa mahakamani.
Bado zamu yenu.