TFF na Jeuri ya kuivimbia serikali

TFF na Jeuri ya kuivimbia serikali

chapachapa

Member
Joined
Jan 14, 2013
Posts
93
Reaction score
21
Sakata la malumbano yanayoendelea baina ya serikali na TFF KUHUSU KATIBA yanazidi kuchukua nafasi siku hadi siku....sielewe TFF inataka nini? na inatoa wapi huu musuli wa kuichezea serikali hii? TFF leo wanakuja na mkwala wa kufungiwa Tanzania eti serikali inaingilia maswala ya mpira wa miguu Tanzania...

Huyu Angetile ni nani katika nchi hii? huyu Tenga ule ustaarabu wake aliokuwa nao na hata akakubalika na wapenda soka leo umeishia wapi mbona naye anakuwa mswahili na mbabaishaji, Kwa kaweli inatia mashaka na serikali lazima ijitutumue kuepuka kuitwa serikali DHAIFU
 
Tenga anawachezea akili zao,na kuwaona kuwa hawana la kuwafanya sana sana watafungiwa mazima!Kiburi kama cha Rage na Ndolanga!wameona Waziri Mwanamke hajui sheria na utaratibu wa FIFA kuwa hawachezewi!Tenga anamtaka Nyamlani tu!Malinzi anaonekana anataka kuleta utawala wa kimla!Kaka BMT mdogo TFF!
 
mkuu unaumia nini mtu anyeua soka la tanzaniani huyu LEODGA CHILA TENGA kwa mikono miguu na serikali ya kichwa chake. hivi hujiulizi kwann wakati ule anagombea yeye haya yote hayauwepo?? ulishawah kuskia eti katiba imekiukwa kwenye chaguzi zilizo miuhusu yeye??

kwa taarifa yako huyu aliyebakizwa kama mgombea pekee ni ndugu wa damu na Tenga, na kibaya zaid anayajua madudu yake aliyoyafanya kwenye mapato ya getini(gate collections) na zile dola 250, 000 za FIFA. sasa anajua kabisa WAMBURA NA MALIZI watatoboa siri ama watamshkia chini. sababu ya katiba kubadilishwa na kuweka hizo condition zilizowekwa ni za kupikwa na za kuwanima hawa wawili nafasi za kugombea.

leo hii hata FIFA wana muunga mkono tenga eti kwasababu kesi za mambo ya mpira zinaendeshwa kiFIFA wakasahahu kwamba hata hiyo michezo lazima ifuate katiba ya nchi husika. nashindwa kuelewa hata KIKWETE ana mpa kichwa huyu mtu cha nin hadi kumpigia debe eti achaguliwe kuongoza CAF. sion alichofanya kwenye soka letu ingawa watu wana mwamko zaid, na wanajitolea.
 
Tenga anawachezea akili zao,na kuwaona kuwa hawana la kuwafanya sana sana watafungiwa mazima!Kiburi kama cha Rage na Ndolanga!wameona Waziri Mwanamke hajui sheria na utaratibu wa FIFA kuwa hawachezewi!Tenga anamtaka Nyamlani tu!Malinzi anaonekana anataka kuleta utawala wa kimla!Kaka BMT mdogo TFF!

kwani mkuu wasiachwe hawa akina Malinzi na wambura wakagombea wapiga kura ndio wakawachuja??kwani NYAMLANI kaandikwa WEZA?? PENILA mkangala nae awe firm tuone manake huyu tenga anacheza na sheria za nchi. na tutakapofugiwa asi afunguliwwe mashtaka huyu TENGA
 
mkuu unaumia nini mtu anyeua soka la tanzaniani huyu LEODGA CHILA TENGA kwa mikono miguu na serikali ya kichwa chake. hivi hujiulizi kwann wakati ule anagombea yeye haya yote hayauwepo?? ulishawah kuskia eti katiba imekiukwa kwenye chaguzi zilizo miuhusu yeye??

kwa taarifa yako huyu aliyebakizwa kama mgombea pekee ni ndugu wa damu na Tenga, na kibaya zaid anayajua madudu yake aliyoyafanya kwenye mapato ya getini(gate collections) na zile dola 250, 000 za FIFA. sasa anajua kabisa WAMBURA NA MALIZI watatoboa siri ama watamshkia chini. sababu ya katiba kubadilishwa na kuweka hizo condition zilizowekwa ni za kupikwa na za kuwanima hawa wawili nafasi za kugombea.

leo hii hata FIFA wana muunga mkono tenga eti kwasababu kesi za mambo ya mpira zinaendeshwa kiFIFA wakasahahu kwamba hata hiyo michezo lazima ifuate katiba ya nchi husika. nashindwa kuelewa hata KIKWETE ana mpa kichwa huyu mtu cha nin hadi kumpigia debe eti achaguliwe kuongoza CAF. sion alichofanya kwenye soka letu ingawa watu wana mwamko zaid, na wanajitolea.

well said mamito yaani huyu sharo halafu kawashka pabaya fifa na kikwete kwa kujivisha ngozi ya kondoo jamaa uozo kweli..
 
well said mamito yaani huyu sharo halafu kawashka pabaya fifa na kikwete kwa kujivisha ngozi ya kondoo jamaa uozo kweli..

yaani kama tukifungiwa fifa basi tenga itabidi afungwe na yy manake ame prove failure kabisaa kwenye uongozi wake. SO FAR HUYU NYAMLANI ameandikwa weza?? kwann asiache kura ndizo zikamchagua??

halafu na hwa FIFA nao wanaongoza kwa shinikizo hasa hawa akina hasamoo sijui kwannwatu hawaelewi tu, waliipa tff siku 80 za nini?? halafu leo kwann walete haya masharti?? ni wazi kwamba kunashinikizo linatoka mahali. lakini tenga asisahau kwamba damu ya dola 250,000 na mapato ya getini vitamng'ang'ania tu hata amweke nani.

so far mama penina mwamb CAG akakague mapato na matumizi ya TFF ujionee uozo wa watu ambao hata rais aliwaamini ila mwisho wamegeuka kuwa majizi ya kutupwa.
 
mbona mnalalama tu bila kutoa suluhisho....? hebu tuzungumze tuone mini tufanye baada ya barua ya fifa ya kutaka kufungia nchi...
 
mbona mnalalama tu bila kutoa suluhisho....? hebu tuzungumze tuone mini tufanye baada ya barua ya fifa ya kutaka kufungia nchi...

fifa wasitubabaishe bhana,heri na tufungiwe basi kuliko kuwaendekeza hawa matenga.hebu serikali na isimame kidete tuone kama sikio litazidi kichwa.
 
Mpira duniani ni sector iliyojaa mafia. FIFA ndio wana final say, unfortunately though. Ni kama vile referee, uamuzi wa refa ni wa mwisho hata angekuja Jaji mkuu, hawezi kuubadilisha. Issue ni kwamba serikali haipaswi kuingilia mambo ya mpira, lakini wao wameingilia na wakatoa maagizo ya kipuuzi. Hata hivyo hao wanaowania hizo post mnawapendea nini? Wako wengi tuu wenye uwezo sio hao kina Mazini etal.
 
kwani serikali imeingilia wapi?yaani kuwaambia kuwa hayo malekebisho ya katiba,hayakufuata utaratibu ndio kuingilia tff?wasitake ku2fanya hatuna akili,cha ajabu leo wamekuja eti na barua kutoka fifa,ikisema kuwa wao fifa wamepata taarifa kupitia magazeti ya tz kuwa serikali imeingilia michezo,hivyo wataifungia nchi!kwanini hao fifa wasije wakakaa chini na serikali na hao tff,ili wapate picha halisi,itakuwa hao tff wanawapotosha fifa!ili serikali inywee waendeleze umafia wao,Leo nimemsikia naibu waziri wa michezo mr.makala anasema kuwa wao kama serikali hawatababaika na hizo kauli za fifa,wao wanataka utaratibu ufuatwe,na tff ndio wanataka tz ifungiwe kutokana na uroho wa madaraka.Na leo ndio ilikuwa mwisho wa zile cku 5,walizopewa tff na wizara kujibu hoja,cha ajabu wamekuja na tamthilia kutoka fifa,ili kupoteza lengo.KWELI MWISHO WA UBAYA NI AIBU!"
 
Ningekuwa waziri ningeandika barua FIFA Niwaambie this guys nawatuhumu kwa kutumia madaraka ovyo.
 
kwani serikali imeingilia wapi?yaani kuwaambia kuwa hayo malekebisho ya katiba,hayakufuata utaratibu ndio kuingilia tff?wasitake ku2fanya hatuna akili,cha ajabu leo wamekuja eti na barua kutoka fifa,ikisema kuwa wao fifa wamepata taarifa kupitia magazeti ya tz kuwa serikali imeingilia michezo,hivyo wataifungia nchi!kwanini hao fifa wasije wakakaa chini na serikali na hao tff,ili wapate picha halisi,itakuwa hao tff wanawapotosha fifa!ili serikali inywee waendeleze umafia wao,Leo nimemsikia naibu waziri wa michezo mr.makala anasema kuwa wao kama serikali hawatababaika na hizo kauli za fifa,wao wanataka utaratibu ufuatwe,na tff ndio wanataka tz ifungiwe kutokana na uroho wa madaraka.Na leo ndio ilikuwa mwisho wa zile cku 5,walizopewa tff na wizara kujibu hoja,cha ajabu wamekuja na tamthilia kutoka fifa,ili kupoteza lengo.KWELI MWISHO WA UBAYA NI AIBU!"
nyamlani ni hakimu,napata wasiwasi na fani ya mahakimu
 
Mpira duniani ni sector iliyojaa mafia. FIFA ndio wana final say, unfortunately though. Ni kama vile referee, uamuzi wa refa ni wa mwisho hata angekuja Jaji mkuu, hawezi kuubadilisha. Issue ni kwamba serikali haipaswi kuingilia mambo ya mpira, lakini wao wameingilia na wakatoa maagizo ya kipuuzi. Hata hivyo hao wanaowania hizo post mnawapendea nini? Wako wengi tuu wenye uwezo sio hao kina Mazini etal.
watolewe kwa vigezo sio nguvu
 
kwani mkuu wasiachwe hawa akina Malinzi na wambura wakagombea wapiga kura ndio wakawachuja??kwani NYAMLANI kaandikwa WEZA?? PENILA mkangala nae awe firm tuone manake huyu tenga anacheza na sheria za nchi. na tutakapofugiwa asi afunguliwwe mashtaka huyu TENGA

kwani wanaogopa uchaguzi huru na wa haki,lazima kuna jambo na huyu wambura nae kama sikosei kumbukumbu zangu si ndio alimpelekaga mahakamani rage mpaka akawekwa ndani kwa ubadhirifu wa fedha nadhani ndio mana wanamuoguopa,maana atafumua mengi
 
fifa wasitubabaishe bhana,heri na tufungiwe basi kuliko kuwaendekeza hawa matenga.hebu serikali na isimame kidete tuone kama sikio litazidi kichwa.

Tufungiwe tu simba na yanga wakacheze chandimu mkwakwani
 
Tenga ameiba sana anaogopa akija mtu mwingine TFF ataishia Segerea,thus why anafosi amwachie TFF jamaa ake.But yana mwisho amuulize Raila.
 
kwani wanaogopa uchaguzi huru na wa haki,lazima kuna jambo na huyu wambura nae kama sikosei kumbukumbu zangu si ndio alimpelekaga mahakamani rage mpaka akawekwa ndani kwa ubadhirifu wa fedha nadhani ndio mana wanamuoguopa,maana atafumua mengi

wajua TFF wanajua hawa WAMBURA NA MALINZI ni makaa ya moto kwa iongozi waliopo. na wanajua wakiingia tu kule watafunua uozo wa ajabu sana. but waache tu kuliko haya yanayotokea hadi inaonekana wazi kwamba wanambeba NYAMLANI. Mimi swali ambalo bado namuuliza TENGA na wenzie je NYAMLANI kaandikwa WEZA??
 
Suluhisho langu ni kwamba wziri muhusika awaandikie baruaa fifa awaambie kwamba tff kama chombo kilicho ndani ya sjmt basi inatakiwa kufuata katiba ya nchi kama vyama vingine vyovyote ingawa pia inatakiwa kufuata kanuni za shirikisho.

Kwakuwa tff ilikiuka katiba na kufanya marekebisho ya katiba bila kufuata utaratibu basi tff uongozi uliopo madarakani umekosea na kwa mujibu wa sheria za nchi viongozi hawa wanashtakiwa kwenye mahakama zetu za kiraia. Na hii iwe funzo kwa viongozi wengine watakaofuata.

Kwa mantikihiyo bas serikali kama serikali inatoa agio la uchaguzi kufanywa kwa kutumia katiba ya zamani, na hapa hata kama nyie ndo wafadhili lkn ikumbukwe kwamba annual contribution ambayo tff wanalipa inatokana na kodi za wananchi hivyo lazima serikali iingilie kati. Na fifa wambiwe wazi hamuwez mkatengeneza nchi nyingine ndani ya taifa huru kupitia michezo mnayoiratibu.
 
Naishauri Serikali isikubali vitisho vya FIFA na akina Tenga........na wacha tufungiwe.....lakini huu "ushenzi" wa akina Angetile na bosi wake Tenga haukubaliki......wanaleta dharau mbele ya serikali.........wajue kuwa wao ni Watanzania kwanza......na kama Tanzania itafungiwa hiyo ndio itakuwa Legacy ya Tenga na Angetile.........
 
Back
Top Bottom