chapachapa
Member
- Jan 14, 2013
- 93
- 21
Sakata la malumbano yanayoendelea baina ya serikali na TFF KUHUSU KATIBA yanazidi kuchukua nafasi siku hadi siku....sielewe TFF inataka nini? na inatoa wapi huu musuli wa kuichezea serikali hii? TFF leo wanakuja na mkwala wa kufungiwa Tanzania eti serikali inaingilia maswala ya mpira wa miguu Tanzania...
Huyu Angetile ni nani katika nchi hii? huyu Tenga ule ustaarabu wake aliokuwa nao na hata akakubalika na wapenda soka leo umeishia wapi mbona naye anakuwa mswahili na mbabaishaji, Kwa kaweli inatia mashaka na serikali lazima ijitutumue kuepuka kuitwa serikali DHAIFU
Huyu Angetile ni nani katika nchi hii? huyu Tenga ule ustaarabu wake aliokuwa nao na hata akakubalika na wapenda soka leo umeishia wapi mbona naye anakuwa mswahili na mbabaishaji, Kwa kaweli inatia mashaka na serikali lazima ijitutumue kuepuka kuitwa serikali DHAIFU