NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,399
- 13,007
- Thread starter
- #21
Kweli kabisa mkuuHalafu system zetu siku zote huwa hazilengi mambo ya kimataifa, ni ujanja ujanja tu wa ndani ya nchi. Mtu mmoja mmoja ndio huwa anapambana yeye mwenyewe kimataifa.