Kwa style hii ya uendeshaji wa soka bongo maendeleo kupatikana sijui ni lini?
Sheria zipo lakini timu zinaambiwa wakajadiliane nje ya pannel manake nini afu wanashindwa fika muafaka kitu kula zinapigwa maana ya sheria ni nini?
Ubabaishaji mtupu na TFF yao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.