Jafari Haruna
JF-Expert Member
- Jun 18, 2017
- 347
- 962
Yapo mengi mnafanya vizuri lakini hili ni moja ya Makosa mmefanya
Mmepeleka Fainal ya FA Sumbawanga
Sio Jambo baya lakini Mlitafakari kwa kina au mlikurupuka?
Kweli Uwanja kama huu niwakuchezea Fainali kweli ya FA!?
Muache Dharau Heshimuni Fainali
Hii nihali ya Uwanja Leo Tar 01/08/2020
17:20
Masaa machache kabla ya mchezo
Mmepeleka Fainal ya FA Sumbawanga
Sio Jambo baya lakini Mlitafakari kwa kina au mlikurupuka?
Kweli Uwanja kama huu niwakuchezea Fainali kweli ya FA!?
Muache Dharau Heshimuni Fainali
Hii nihali ya Uwanja Leo Tar 01/08/2020
17:20
Masaa machache kabla ya mchezo