Text Dialogue;kisa cha komando na mrembo

Text Dialogue;kisa cha komando na mrembo

mwekundu

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2013
Posts
22,477
Reaction score
21,024
10264972_10202908475328375_5474845657869227789_n.jpg

QUOTE=utafiti;9399314]"Girl; hello bby mambo?
Boy; poa mzima wewe?
Girl; mi mzima ila nina shida kidogo
Boy; usijali mpenzi niambie tu! Shida gani?
Girl; nitumie 800,000/ nataka nikasuke pls
Boy; heee 800,000/ kusuka au kufungua salon yako bby?
Gilr; khaaa unashituka nini sasa mpenzi? Wewe si komandoo au ulinidanganya?
Boy; ni kweli sisi makomandoo kivitendo wakati wa maadhimisho tu siyo kila siku bby!
Girl; mhhhh nimekuelewa swtie basi nitumie 100,000/ tu nyengine nitaongezea mwenyewe.
Boy; hata hiyo sina mpenzi
Girl; hehehehe basi 20,000/ nikodi tax nije kwako tuongee tu mpenzi
Boy; mimi naishi kota za jeshi bby, sijajenga bado.
Girl; nyooo kinachokufanya uvunje matofali hadharani ni nini wakati unahitaji matofali yakujenga? Misifa itakuua unikome""
 
mwekundu, ah umemanimaliza mbaya....! ila ujumbe unafunzo kubwa sana kwenye ufahamu!
 
Last edited by a moderator:
seriously hawa makomando wanaishi wapi?
 
sawa baba

"Girl; hello bby mambo?
Boy; poa mzima wewe?
Girl; mi mzima ila nina shida kidogo
Boy; usijali mpenzi niambie tu! Shida gani?
Girl; nitumie 800,000/ nataka nikasuke pls
Boy; heee 800,000/ kusuka au kufungua salon yako bby?
Gilr; khaaa unashituka nini sasa mpenzi? Wewe si komandoo au ulinidanganya?
Boy; ni kweli sisi makomandoo kivitendo wakati wa maadhimisho tu siyo kila siku bby!
Girl; mhhhh nimekuelewa swtie basi nitumie 100,000/ tu nyengine nitaongezea mwenyewe.
Boy; hata hiyo sina mpenzi
Girl; hehehehe basi 20,000/ nikodi tax nije kwako tuongee tu mpenzi
Boy; mimi naishi kota za jeshi bby, sijajenga bado.
Girl; nyooo kinachokufanya uvunje matofali hadharani ni nini wakati unahitaji matofali yakujenga? Misifa itakuua unikome""

Mwisho wa kunukuu miss neddy
 
Last edited by a moderator:
"Girl; hello bby mambo?
Boy; poa mzima wewe?
Girl; mi mzima ila nina shida kidogo
Boy; usijali mpenzi niambie tu! Shida gani?
Girl; nitumie 800,000/ nataka nikasuke pls
Boy; heee 800,000/ kusuka au kufungua salon yako bby?
Gilr; khaaa unashituka nini sasa mpenzi? Wewe si komandoo au ulinidanganya?
Boy; ni kweli sisi makomandoo kivitendo wakati wa maadhimisho tu siyo kila siku bby!
Girl; mhhhh nimekuelewa swtie basi nitumie 100,000/ tu nyengine nitaongezea mwenyewe.
Boy; hata hiyo sina mpenzi
Girl; hehehehe basi 20,000/ nikodi tax nije kwako tuongee tu mpenzi
Boy; mimi naishi kota za jeshi bby, sijajenga bado.
Girl; nyooo kinachokufanya uvunje matofali hadharani ni nini wakati unahitaji matofali yakujenga? Misifa itakuua unikome""

Mwisho wa kunukuu miss neddy

hahahahahahahahahhahah tanteeeeee utafiti huyo girl kaniacha hoi anampa makavu live
ina funzo ndani yake lol
afu bahati mbaya kukucd kakuwahi ningekupa zawadi special
 
Last edited by a moderator:
hahahahahahahahahhahah tanteeeeee utafiti huyo girl kaniacha hoi anampa makavu live
ina funzo ndani yake lol
afu bahati mbaya kukucd kakuwahi ningekupa zawadi special

Hahhahahah naomba zawadi yngu plz
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom