Kama sio wa kwanza kinachokuuma ni nini sasa?Kwani huyo ni wa kwanza kuteuliwa?
Shida ya watu ya Kariba yenu huwa ni IQ ndogo. Hujikiti ktk mada. Lengo la uzi huu ni ku solve tatizo. Hapa ni Tz siyo Kenya wala Rwanda. Unadhani Nyerere angekuwa mpuuzi kama mawazo yako tusingekuwa na UDINI?Kama sio wa kwanza kinachokuuma ni nini sasa?
Msilete mambo ya Rwanda na Kenya kwenye nchi yetu, sisi tumechanganyana kifamilia ukikuta ndugu muislam hakosi ndugu mkristo iwe wa kuzaliwa kwa Mama/ Baba mmoja au kwa shangazi na mjomba.
Ulitaka wa dini gani nyingine ateuliwe? Bahati mbaya Wahindu ni kidogo sana na hawako serikalini, labda wao ndiyo wangelalamika kukosa uteuzi.Mkuu niliyo andika ni uongo?
Mbona mkuu mpya wa majeshi ni mkristu.Hii nchi yetu sija jua inaendeshwaje kwa kweli. Kama Taifa hatuna Dira ya muda mrefu. Na kama nchi hatuandai vijana wa kuongoza serikali na taasisi mbalimbali. Kila Rais mpya ata kuja na wateule wake wapya. Ata ondoa vijana bora na kuweka wa hovyo. Wengine wamepewa tuhuma za uongo ili kuhalalisha tu kuondolewa kwao. Pia, tumeacha taratibu na misingi ya promotion serikalini. Ila tuna ongozwa na milengo ya kisiasa, makundi, ukabila, kujuana, kujipendekeza, nk. Hii kitu tuikemee. China haijengwi hivyo!!
Jambo la pili, ni UDINI katika teuzi. Hivi karibuni iwe nafasi ya juu, majeshi, makatibu wakuu, Wakurugenzi, nk, kupitia page ya Msemaji wa Serikali toka Rais ateuliwe, ame kuwa na tabia ya kuteua Wakiristo ktk nafasi za Mwenyekiti wa Mashirika/Boards na Watendaji wakuu wa taasisi au serikali akiteua Waislam. Ngazi ya juu kukiwa na mkiristo, mtendaji mkuu wa taasisi hiyo Rais ataweka Muislam. Nina uhakika na hili by 95% nimekuwa nikifuatilia. Hii ni kuondoa Wakiristo ktk utendaji wa Serikali. Sijakupangii ni nani uteue. Ila mm kama mwananchi nina uhuru wa kutoa maoni na ushauri wangu, kwa nia njema ya Taifa langu.
Hii mbegu ni mbaya sana. Isipo dhibitiwa mapema. Tuta ingia baadae kwenye ukabila.
Watu wateuliwe kutokana na Elimu, Uzoefu, utendaji kazi na umahiri wake. Samaki mkunje angali mbichi.
Akina mzee wa Sinde Warioba, Pinda, nk wanaona na wanajua ila wanaogopa kudharalishwa na hutu tu vijana kama akina Makonda, Happi, Sabaya kama mlivyo watumia hapo awali.
Watanzania wenzangu, Tanzania ni yetu sote. Tusiogope kuikosoa na kuishauri serikali kwa maslahi mapana ya Tanzania.
Kama umefanya utafiti wa kweli nenda ukaangalie asilimia ya watendaji kuanzia Wakurugenzi mpaka Mawaziri ni asilimia ngapi wa dini tafauti tafauti.Unadhani Nyerere angekuwa mpuuzi kama mawazo yako tusingekuwa na UDINI?
Wala degree yenyewe siyo feki kama hizo zenu za kununua mitihani.Eti haya mawazo nayo utakuta huyu nae eti ana Bachelor Degree
Ulicho kiongea kinaweza kuwa sahihi ila hiyo ina tokana na Ratio ya Educated Muslims vs Educated Christians. Hata ktk viongozi wetu wa imani ya kiroho ratio ni hiyo hiyo. Christians wana formal education (Degree) kuliko Waislam. Hili ni suala ya investment ktk Elimu kupitia mtu binafsi au kama dini/dhehebu husika. Ila tambua kuna utofauti mkubwa kati ya kuajiri na kuteua. Mchakato rasmi hufuata vigezo. Elimu na, uzoefu, misingi na taratibu za serikari (Promotion). Ila teuzi ni tofauti na mara nyingi huvuruga. Mfano akina Makonda (hana vyeti), Katibu Mkuu CCM (kuteuliwa Ikulu), nk. Hawa ni Wakristo, sina udini ila napinga upatikanaji wao.Kama umefanya utafiti wa kweli nenda ukaangalie asilimia ya watendaji kuanzia Wakurugenzi mpaka Mawaziri ni asilimia ngapi wa dini tafauti tafauti.
Halafu pia upige hesabu katika dini moja wapi ni madhehebu fulani na wapi ni dhehebu jingine. Tafuta kitabu cha 'The partnership' cha Aboud Jumbe na 'Nyerere and the Catholic Church' wamefanya analysis kuhusu issue hiyo.
Angalia mawazo ya hizo post. Afu post hapa post zako pia tuone mlinganisho wa IQ. Sijawahi kuwa mwanasiasa wala mpambe wa mtu. Hata hao wateuliwa wana kazi, wana hamia kwingine tu. Kwahiyo usikariri. Hizo post zitangazwe kwa watanzania wote kama serikali ilivyo ahidi 2022. Ni ombe. Au una umia ni ki ombaWewe kichwani kwako hauko sawa tazama baadhi ya post zako jinsi unavyojichoresha hapa.
Huko busisi umetoka lini?
Tunavyosema mlikuwa wapi awamu ya mkazi wa chato akiteua wa kwenu huko na dini moja kwa upendeleo sio kwamba hatukuona.
Hebu pambana kwanza na ajira ili utulize kichwa safari hii hakuna kubebena kama mlivyokuwa mkidanganyana nimekaa sana na nyie watu wa huko nawajua vizuri sana ni bora ukakaa kimya hapa jukwaani.
Pole sana mkuu kwa unayopitia jaribu kutuliza munkari huko kenya ulikokaa kumekuathiri.Angalia mawazo ya hizo post. Afu post hapa post zako pia tuone mlinganisho wa IQ. Sijawahi kuwa mwanasiasa wala mpambe wa mtu. Hata hao wateuliwa wana kazi, wana hamia kwingine tu. Kwahiyo usikariri. Hizo post zitangazwe kwa watanzania wote kama serikali ilivyo ahidi 2022. Ni ombe. Au una umia ni ki omba. Sema tu hii post ime kupiga sawasawa. Ww tulia, sikilizia.
Huna kitu unacho kijua. Bora utulie kama umeshindwa kujikita ktk Mada.Pole sana mkuu kwa unayopitia jaribu kutuliza munkari huko kenya ulikokaa kumekuathiri.
Nilijua tu akili za kitanzania halisi haziwezi kuwaza ujinga namna hiyo.
Hiyo degree yako ni labda ya ubishi ndio ulihitumu.
Hii nchi yetu sijajua inaendeshwaje kwa kweli. Kama Taifa hatuna Dira ya muda mrefu. Na kama nchi hatuandai vijana wa kuongoza Serikali na taasisi mbalimbali. Kila Rais mpya ata kuja na wateule wake wapya. Hataondoa vijana bora na kuweka wa ovyo.
Wengine wamepewa tuhuma za uongo ili kuhalalisha tu kuondolewa kwao. Pia, tumeacha taratibu na misingi ya promotion serikalini. Ila tuna ongozwa na milengo ya kisiasa, makundi, ukabila, kujuana, kujipendekeza, nk. Hii kitu tuikemee. China haijengwi hivyo!!
Jambo la pili, ni UDINI katika teuzi. Hivi karibuni iwe nafasi ya juu, majeshi, makatibu wakuu, Wakurugenzi, nk, kupitia page ya Msemaji wa Serikali toka Rais ateuliwe, ame kuwa na tabia ya kuteua Wakiristo ktk nafasi za Mwenyekiti wa Mashirika/Boards na Watendaji wakuu wa taasisi au serikali akiteua Waislam.
Ngazi ya juu kukiwa na mkiristo, mtendaji mkuu wa taasisi hiyo Rais ataweka Muislam. Nina uhakika na hili by 95% nimekuwa nikifuatilia. Hii ni kuondoa Wakiristo ktk utendaji wa Serikali. Sijakupangii ni nani uteue. Ila mm kama mwananchi nina uhuru wa kutoa maoni na ushauri wangu, kwa nia njema ya Taifa langu.
Hii mbegu ni mbaya sana. Isipo dhibitiwa mapema. Tuta ingia baadae kwenye ukabila.
Watu wateuliwe kutokana na Elimu, Uzoefu, utendaji kazi na umahiri wake. Samaki mkunje angali mbichi.
Akina mzee wa Sinde Warioba, Pinda, nk wanaona na wanajua ila wanaogopa kudharalishwa na hutu tu vijana kama akina Makonda, Happi, Sabaya kama mlivyo watumia hapo awali.
Watanzania wenzangu, Tanzania ni yetu sote. Tusiogope kuikosoa na kuishauri serikali kwa maslahi mapana ya Tanzania.
Naunga mkono hii hoja..Mambo ya ukabila na udini ni ujinga uliopitiliza. Kuanzia kwa anayeufanya hadi kwa anayeushabikia kama wewe mleta mada.
Katia teuzi kama anayeteuliwa ni mtanzania basi...hayo mengine ni mbwembwe tu.
Btw, Kama kuna kiongozi aliyevunja rekodi ya kuteua kwa kuangalia dini na ukanda basi ni Magufuli.
Jambo la msingi tuungane wote kupiga vita huu upuuzi.
Mkuu kwa upande wa dini, hebu soma baraza hili la mawaziri afu uone udini hasa ulianzia awamu ya ngapi, na pia uliwahi kushauri chochote juu ya hilo katika hii awamu ya hawa mawaziri? Je hii ilikuwa ni bahati mbaya kuto balance dini au ilifanywa kusudi kwa lengo la kuwafurahisha upande mmoja na kuwachukiza upande mungine? Karibu tujadili kwa faida na mustakabali wa taifa. Mkuki kwa nguruwe, kwa binadamu mchungu.Hii nchi yetu sijajua inaendeshwaje kwa kweli. Kama Taifa hatuna Dira ya muda mrefu. Na kama nchi hatuandai vijana wa kuongoza Serikali na taasisi mbalimbali. Kila Rais mpya ata kuja na wateule wake wapya. Hataondoa vijana bora na kuweka wa ovyo.
Wengine wamepewa tuhuma za uongo ili kuhalalisha tu kuondolewa kwao. Pia, tumeacha taratibu na misingi ya promotion serikalini. Ila tuna ongozwa na milengo ya kisiasa, makundi, ukabila, kujuana, kujipendekeza, nk. Hii kitu tuikemee. China haijengwi hivyo!!
Jambo la pili, ni UDINI katika teuzi. Hivi karibuni iwe nafasi ya juu, majeshi, makatibu wakuu, Wakurugenzi, nk, kupitia page ya Msemaji wa Serikali toka Rais ateuliwe, ame kuwa na tabia ya kuteua Wakiristo ktk nafasi za Mwenyekiti wa Mashirika/Boards na Watendaji wakuu wa taasisi au serikali akiteua Waislam.
Ngazi ya juu kukiwa na mkiristo, mtendaji mkuu wa taasisi hiyo Rais ataweka Muislam. Nina uhakika na hili by 95% nimekuwa nikifuatilia. Hii ni kuondoa Wakiristo ktk utendaji wa Serikali. Sijakupangii ni nani uteue. Ila mm kama mwananchi nina uhuru wa kutoa maoni na ushauri wangu, kwa nia njema ya Taifa langu.
Hii mbegu ni mbaya sana. Isipo dhibitiwa mapema. Tuta ingia baadae kwenye ukabila.
Watu wateuliwe kutokana na Elimu, Uzoefu, utendaji kazi na umahiri wake. Samaki mkunje angali mbichi.
Akina mzee wa Sinde Warioba, Pinda, nk wanaona na wanajua ila wanaogopa kudharalishwa na hutu tu vijana kama akina Makonda, Happi, Sabaya kama mlivyo watumia hapo awali.
Watanzania wenzangu, Tanzania ni yetu sote. Tusiogope kuikosoa na kuishauri serikali kwa maslahi mapana ya Tanzania.