Makada wa cccm.
Hawa hapa
Orodha kamili ya Makatibu Tawala wa Wilaya 27 walioteuliwa pamoja na vituo vyao vya kazi ni kama ifuatavyo
KITUO CHA KAZIJINAARUSHAArumeruTimotheo MzavaGEITANyang’hwaleFabian Yinza SospeterKAGERAKaragweInnocent NsenaMissenyiAbdallah R.MayombaKyerwaGreyson MwenguBiharamuloAgness Rwakayonza AlexLINDILiwaleMbwana R. KambagwaKilwaAgenellus Samwel MwakitaluMANYARAHanangSarah Erasto SangaMbuluPaul Tlatlaa BuraMOROGOROKilosaYohana M. KasitilaKilomberoRobert Francis SelaselaMalinyiLameck Michael LusesaMTWARANanyumbuPalango Salum AbdulMWANZAMisungwiBosco James BugaliMaguMenruf Fortunatus NyoniIlemelaSaid R.KitingaNJOMBEMaketeGrace Huruma MgeniLudewaZaina Mfaume MlawaPWANIKibitiMilongo R.SangaRUKWAKalamboFrank Mastara SichalweSIMIYUMeatuNicodemas Tambo MwikoziItilimaFilbert Kasian KanyilizuBusegaGodwin ChachaSINGIDAIkungiWinfrida Emmanuel FuntoMkalamaElizabeth RwegasiraTABORAKaliuaMichael Simon NyahengaMa-Katibu Tawala wa Wilaya hawa wametakiwa wafike kwa Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais (Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora) wakiwa na CV zao pamoja na nakala za vyeti vyao vya kielimu.