steveachi
JF-Expert Member
- Nov 7, 2011
- 9,574
- 10,285
jaman hayo matokeo ni
kwamba kuna pages zimepotea ndo wanatafuta au kuna tatizo gani kwa
sababu yamesha tuchosha kusubiri kama yamemalizika mapema kusahihishwa
kwann wasi yatoe sasa tanzania kila kitu rough,,,
Teh teh teh,kuweni na subra nyie,mnataka kilichomkuta dr.ndelichako na waislam kijirudie?,acheni wajiridhishe,mna harakatgani nyie,mitoto yenu yenyewe mivilaza,wazee wa desa halaf mna haamu na matokeo yao,kausheni nyie