2013 kivp tena?na ni redio gani?
2013 bado hata mtihan hawajafanya' typin errOr
We acha tu! Great Thinkers tumeingiliwa
kaka yani acha tu
Jamani siyo kosa lake amengia jana tu humu ndani, anataka kupost ujinga ujinga wake wa facebook kwanza, form iv 2013 hawajafanya mtihani bado
Matatizo kweli aisee, hadhi ya jf inashuka sasa, kwanza anadai yatangazwa redio, pili muda wowote yatawekwa mtandaoni, huyu ni...................maana hana hadhi ya ugreat thinker.
hao ndo ninaosema siku zote,wanafikiria kupitia a**ss zao badala ya kutumia ubongo,maudhi tu siku hizi,
Ok sawa kama hakuna makosa kwenye uandishi wa habari yake, je chanzo cha taarifa yake ni Redio ipi ukumbuke hapa JF ni sehemu inayoaminika kwa kuhabarishana habari sahihi na kwa kinanyie mnaomtukana mleta thread ndio vilaza wakubwa!
kwani haya matokeo yatatoka mwaka upi?? hebu someni hiyo title ya thread mnionyeshe alipokosea.
mtihani ndio uliofanyika 2012 lakini matokeo ni ya 2013......mnajinadi kuwa ni Great thinkers kumbe ni vilaza wakuu,ngoja niwabadilishie kibao!!!!!
NECTA ni ya wakatorikiTuna madokta na maprofessor wengi tu ambao ni wa kiislamu na walisoma katika shule za serikali za kawaida kabisa. Nina marafiki zangu ambao nilisoma nao O-level ni waislam na sasa ni madokta. Huo mfumo kristo wa baraza haukuwaona hawa wote uje uwaone ninyi tu? Nyie mnalala kwenye ngoma halafu mnataka mfaulu?
Ok sawa kama hakuna makosa kwenye uandishi wa habari yake, je chanzo cha taarifa yake ni Redio ipi ukumbuke hapa JF ni sehemu inayoaminika kwa kuhabarishana habari sahihi na kwa kina
Kuna umuhimu wa kumjibu?
mtu akikukanyaga makusudi busara ni kujifuta na kuendelea na mambo yako
waliofaulu 54% kati yao ni 5% tu ya muslim waliofaulu.....
Ni sawa sikatai hata hiyo bulletin lazima iwe inachanzo ambacho mtoa maada maeshindindwa kusema ni Radio ipi, ili itusaidie kufuatilia kwa kinagreat thinker hupewa bulletin tu!habari kamili na ya ukweli ni juu yako kutafuta
NECTA ni ya wakatoriki
mfumo kristo unatumaliza,acheni kukesha kwenye vigodoro
teh teh tehNECTA ni ya wakatoriki
How comes kwamba haya matokeo yapo JF tu kwenye mtandao wa baraza wala wizara hayapo? What is going on here? Hebu tujuzeni nyie mliyepo baraza, ni kwa vipi matokeo yanatangazwa halafu kwenye mtandao hayapo?
acha udaku wewe....mfumo kristo? kawambwa ni nani? kikwete na makamu wake ni nani? halafu msipenda laumu mfumo kristo wakati nyie mkalia madrasa badala ya kwenda tuition...nenda tuition acha kulaumu ukiibuka na 4 ama 0 ni yako...mfumo kristo unatumaliza,
Watahiniwa Kaeni mkao wa kula sasa hivi necta wanayarusha mtandaoni
Umeyaona yako wapi hapa JF?
Mtoto bado unatambaa wewe!!! Yaani unataka na kwenye baraza wakuwekee hiki kipande kilicholetwa hapa? Acha hizo Mkuu!!
Top ten ina shule za St. Francis, Marian, Feza boys, St. Joseph Millenium, Abbey, St. Mary Goreth, Kandoto girls, Mzumbe, Kibaha, Ilboru na wanafunzi bora ni Mary A . Ndona(St. Francis), Rebecca Nsingwe (Marian), Joseph Ulapi(Mzumbe), Ismail Kandeya (Arusha day), Martin Kaimbo(Kibaha)