The Icebreaker
Platinum Member
- Apr 24, 2014
- 37,959
- 117,325
Ndio kina nani hao huko Daslam?
Hii ishu kama ni kweli Harmo ndio loserUpuuzi yani wasanii wa kibongo ni upuuzi
Mpuuzi mmoja na hayawani mmoja anayechezea mti mkavu mmoja na mtoto wake wa kumzaa.Siwajui ,ni akina nani hao?
Watarudiana tena hawa. Konde ndo atajifanya kachanganyikiwa tena