kidi kudi
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 2,419
- 1,981
Katika pita pita yangu katika maduka ya electronics hapa mjini nimesikia stori za baadhi ya wauzaji hao wakidai eti vin'gamuzi vya star timez vinachakachulika na kuweza kunasa hata zile channel ambazo kimsingi ni za kulipioa mfano M-series, Supersports, etc.. je hili lina ukweli wowote na kama ni kweli mwenye utaalamu hebu atujuze kidogo kuhusiana na hii kitu!!
Nawasilisha.
Nawasilisha.