Tetesi: Makonda anaongea na waandishi

Waandishi wetu walivyokua nyuma kupata habari wanaweza wakawa hawajaisikia audio utumbo ya Steve, kuna maswali ya msingi mule.
 
Waandishi wa habari wakosa maswali, mmoja tu kauliza na kuuliza kama sio paparazi ni shida, sasa RC Makonda akawauliza kweli hamna maswali...na Tanzania Daima kaitaja pia wakajibu hatuna. Yaani palifurika waandishi wa kila kona ila wote wameufyata....Makonda oyeee wamependa kazi yake.

Alikuwa anaongelea mambo ya kufahamisha sheria na kysaidia wananchi wa mkoa wake...imekaa vizuri. Mawakili walizubguka wilaya zote.

Yaani walichoambiwa alipojibu la mmoja ni kwamva ni kuonyesha mapambano ya madawa ya kulevya yanagusa panapotakiwa...ndio maana yote yanatokea now.

Hapa kazi tu
 
Waandishi wa habari wakosa maswali, mmoja tu kauliza na kuuliza kama sio paparazi ni shida, sasa RC Makonda akawauliza kweli hamna maswali...na Tanzania Daima kaitaja pia wakajibu hatuna. Yaani palifurika waandishi wa kila kona ila wote wameufyata....Makonda oyeee wamependa kazi yake.

Alikuwa anaongelea mambo ya kufahamisha sheria na kysaidia wananchi wa mkoa wake...imekaa vizuri. Mawakili walizubguka wilaya zote.

Yaani walichoambiwa alipojibu la mmoja ni kwamva ni kuonyesha mapambano ya madawa ya kulevya yanagusa panapotakiwa...ndio maana yote yanatokea now.

Hapa kazi tu
Channel gan
 
Kuna vitu MTU akiwa anavifanya vinashangaza, ila ukipata taarifa kuwa elimu inaweza kuwa tatizo unajihisi kama unapata ahueni nafsini kwa kusema ni bora imekuwa hivyo. Lakini fedheha fedheha kubwa ni pale ambapo akifanya vitu vya ajabu halafu ukakuta ni msomi. Yaani unahisi aibu ikiwa wewe pia ni msomi...yaani mko katika kundi moja.
 
Waandishi wa habari wakosa maswali, mmoja tu kauliza na kuuliza kama sio paparazi ni shida, sasa RC Makonda akawauliza kweli hamna maswali...na Tanzania Daima kaitaja pia wakajibu hatuna. Yaani palifurika waandishi wa kila kona ila wote wameufyata....Makonda oyeee wamependa kazi yake.

Alikuwa anaongelea mambo ya kufahamisha sheria na kysaidia wananchi wa mkoa wake...imekaa vizuri. Mawakili walizubguka wilaya zote.

Yaani walichoambiwa alipojibu la mmoja ni kwamva ni kuonyesha mapambano ya madawa ya kulevya yanagusa panapotakiwa...ndio maana yote yanatokea now.

Hapa kazi tu
Mi ndo maana namkubali.
Kuna watu wamemuanzishia uzushi wakimtega ili awajibu wapate kiki.
 
Back
Top Bottom