pakaywatek
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 4,654
- 6,277
Mtupe update mlioko huko ofisini anaongea nini?
Inaweza kuwa kosa tena akija bila magroup ya old schoolaje na vyeti vyake vyote pia atuonyeshe magroup ya watsapp ya shule aliyosoma kama kaunganishwa.
Khaaa hii nimeipendaaje na vyeti vyake vyote pia atuonyeshe magroup ya watsapp ya shule aliyosoma kama kaunganishwa.
Wa jambo leo,Nipashe,Mwananchi,Mtanzania na Tanzania daima watabaki nje.............Daudi Bashite ukiona hivyo wataandaliwa waandishi wa kuuliza maswali
Channel ganWaandishi wa habari wakosa maswali, mmoja tu kauliza na kuuliza kama sio paparazi ni shida, sasa RC Makonda akawauliza kweli hamna maswali...na Tanzania Daima kaitaja pia wakajibu hatuna. Yaani palifurika waandishi wa kila kona ila wote wameufyata....Makonda oyeee wamependa kazi yake.
Alikuwa anaongelea mambo ya kufahamisha sheria na kysaidia wananchi wa mkoa wake...imekaa vizuri. Mawakili walizubguka wilaya zote.
Yaani walichoambiwa alipojibu la mmoja ni kwamva ni kuonyesha mapambano ya madawa ya kulevya yanagusa panapotakiwa...ndio maana yote yanatokea now.
Hapa kazi tu
mkuu, kuunganishwa kwa 2M kwa kila admin ni possible!aje na vyeti vyake vyote pia atuonyeshe magroup ya watsapp ya shule aliyosoma kama kaunganishwa.
Mi ndo maana namkubali.Waandishi wa habari wakosa maswali, mmoja tu kauliza na kuuliza kama sio paparazi ni shida, sasa RC Makonda akawauliza kweli hamna maswali...na Tanzania Daima kaitaja pia wakajibu hatuna. Yaani palifurika waandishi wa kila kona ila wote wameufyata....Makonda oyeee wamependa kazi yake.
Alikuwa anaongelea mambo ya kufahamisha sheria na kysaidia wananchi wa mkoa wake...imekaa vizuri. Mawakili walizubguka wilaya zote.
Yaani walichoambiwa alipojibu la mmoja ni kwamva ni kuonyesha mapambano ya madawa ya kulevya yanagusa panapotakiwa...ndio maana yote yanatokea now.
Hapa kazi tu