InasemekanaTRA inakusanya zaidi Bilioni 800 kwa mwezi!! Lakini sijui kwa nini hatuna huduma nzuri kwa wananchi. Inasemekana eti sehemu kubwa ya fedha hizi ni kwamatumizi maalum!!! Habari hii ilitoka kwa mwanasiasa na Mbunge wa Chama Tawala kanda ya Ziwa baada ya kuongea na Mkurugenzi wa TRA wakiwa safarini Dodoma. Na mwenyewe huyo mbunge huyo anashangaa ni kwa nini hali ni ngumu katika huduma za jamii katika ukusanyaji mkubwa wa kodi namna hii katika nchi yetu!!
Sijui tufanyeje tuondokane na matatizo yetu..
Source: Huyo Mbunge wa kanda ya ziwa!!
Sijui tufanyeje tuondokane na matatizo yetu..
Source: Huyo Mbunge wa kanda ya ziwa!!