Tetesi: Hatimaye posho za wabunge kutolipwa

mgeni wenu

JF-Expert Member
Jan 2, 2012
3,664
1,730
Wana JF habari za ndani za Idara ya fedha za Bunge zinasema zile posho nono za wabunge zimeshindikana kulipika kutokana na kelele za wananchi na hali halisi ya fedha serikalini,pia kiasi fulani kilichotengwa kitaenda Afya ili kupunguza migongano japo wabunge hawajataarifiwa na hadi leo hawajapata saeating allowance ila ni perdieem tu ya 1200000 ndo zimelipwa jana kwenye akaunti zao...
 
Si Makinda alisema posho zilishaanza kutolewa! Sasa watarudisha zilizolipwa tayari au? Na kama kweli basi Makinda na Pinda inabidi wawajibishwe.
 
Wana JF habari za ndani za Idara ya fedha za Bunge zinasema zile posho nono za wabunge zimeshindikana kulipika kutokana na kelele za wananchi na hali halisi ya fedha serikalini,pia kiasi fulani kilichotengwa kitaenda Afya ili kupunguza migongano japo wabunge hawajataarifiwa na hadi leo hawajapata saeating allowance ila ni perdieem tu ya 1200000 ndo zimelipwa jana kwenye akaunti zao...

Wabunge wa magamba ni vinyonga so I wont say never till its never, wanapotezea tu ili wananchi wasahau kisha warudi in full force.
 
Wana JF habari za ndani za Idara ya fedha za Bunge zinasema zile posho nono za wabunge zimeshindikana kulipika kutokana na kelele za wananchi na hali halisi ya fedha serikalini,pia kiasi fulani kilichotengwa kitaenda Afya ili kupunguza migongano japo wabunge hawajataarifiwa na hadi leo hawajapata saeating allowance ila ni perdieem tu ya 1200000 ndo zimelipwa jana kwenye akaunti zao...

hizo 1,200,000 ndio per diem ya siku ngapi?
 
Wana JF habari za ndani za Idara ya fedha za Bunge zinasema zile posho nono za wabunge zimeshindikana kulipika kutokana na kelele za wananchi na hali halisi ya fedha serikalini,pia kiasi fulani kilichotengwa kitaenda Afya ili kupunguza migongano japo wabunge hawajataarifiwa na hadi leo hawajapata saeating allowance ila ni perdieem tu ya 1200000 ndo zimelipwa jana kwenye akaunti zao...

Zinatosha, mbona wangine hatulipwi hivyo.
 
twende mbele na kufuta sitting allowances zote kwa watumishi wa serikali na mashirika ya umma. Hii itkuwa hatua kubwa ktk kuokoa pesa za walipakodi
 
Si Makinda alisema posho zilishaanza kutolewa! Sasa watarudisha zilizolipwa tayari au? Na kama kweli basi Makinda na Pinda inabidi wawajibishwe.

Serikalini siku hizi ni kama hakun msemaji rasmi, kil mtu la lake. Ataanza spika na lake, naibu spika na lake halafu kauli zao zinachukuliwa kama deepstick then kunusuru hali JK anakanusha kauli za wasemaji wote ile aonekane msafi wakati chamani keshakuwa kigeugeu.

Hali hii isipothibitiwa ni dalili ya anguko la serikali.
 
napenda kuhuhakikishia umma kwamba siwajui dowans wala wamiliki wake,hakika akutukanae hakuchagulii tusi-jk huyo,Utakumbuka nilishaamua kuvunja mkataba wa richmond nilpokupgia cm ukiwa nje ya nchi ukasema umepata ushauri wa makatbu wakuu-lowasa hyo,File la kuhusu posho liko kwangu na rais ameridhia malpo ya posho za wabunge -pinda,taarifa tka ikulu inasema rais hajaidhinisha posho mpya za wabunge,loooh,SERIKALI YA KISANII HII SIJAWAHI ONA,
 
twende mbele na kufuta sitting allowances zote kwa watumishi wa serikali na mashirika ya umma. Hii itkuwa hatua kubwa ktk kuokoa pesa za walipakodi

Jamani tutakula wapi mukitufutia posho? Si unaona tunakimbia mikutano isiyokuwa na kaposho hata kausafiri? Huwa tunakuwa na visingizio kibao tukisikia mikutano iko Benki ya Dunia, Ubalozini na kwengine ambako ni wagumu kunyoosha mkono.
 
Si amini kama ni kweli kwani CCM na serikali yake wameshavuka viwango vya ubinadamu wao wanachofikiria ni matumbo yao tu hata kama nchi ingefikia kiwango cha kulipuka wao kipa umbele chao ni posho tuuuuuuuuuu.
 
Kwa hiyo pending na posho walikuwa wanalipwa na perDM? I seeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom