Tetesi: Chief godlove kuidhamini Simba msimu ujao

Tetesi: Chief godlove kuidhamini Simba msimu ujao

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
22,856
Reaction score
32,659
Unaambiwa kuna mgogoro mzito mno huko ,inawezekana msimu ujao GODLOVE akaja kuwa mdhamini wa timu viongozi wanamuuliza mwekezji pesa ya CAF iko wapi haijulikani ilipo amesema hataki maswali ya kipuuzi yeye sio mtunza hazina wamuulize CEO ,cha ajabu CEO anasema hajui chochote

Msimu ujao ni kilio kikubwa..... yajayo yanatisha pale u-koloni
1750096713365.jpg


Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Unaambiwa kuna mgogoro mzito mno huko ,inawezekana msimu ujao GODLOVE akaja kuwa mdhamini wa timu
Nadhani elimu ya biashara ya mpira inawapiga chenga watu wengi, hasa wa utopolo (labda kasoro wale wawili).
Kuna ajabu gani Godlove kuidhamini Simba akaungana na wadhamini wengine waliopo? Kwa sasa Simba ina wadhamini wafuatao wakifanya udhamini kwa wakati mmoja:
1. M-Bet
2. Azam TV
3. CRDB
4. NMB
5. Mo Cola
6. Mo Assurance
7. Sandaland
8. Azania Bank
9. Pilsner Lager
10. ATCL
11. Africarriers

Inayoongezeka
1. Diadora
2. Jayrutty

Sasa watu wajinga wajinga kama Labani og wanadhani kudhaminiwa klabu kubwa yenye mafanikio katika michuano ya Afrika ni kitu cha ajabu!

1751434573749.png
 
Nadhani elimu ya biashara ya mpira inawapiga chenga watu wengi, hasa wa utopolo (labda kasoro wale wawili).
Kuna ajabu gani Godlove kuidhamini Simba akaungana na wadhamini wengine waliopo? Kwa sasa Simba ina wadhamini wafuatao wakifanya udhamini kwa wakati mmoja:
1. M-Bet
2. Azam TV
3. CRDB
4. NMB
5. Mo Cola
6. Mo Assurance
7. Sandaland
8. Azania Bank
9. Pilsner Lager
10. ATCL
11. Africarriers

Inayoongezeka
1. Diadora
2. Jayrutty

Sasa watu wajinga wajinga kama Labani og wanadhani kudhaminiwa klabu kubwa yenye mafanikio katika michuano ya Afrika ni kitu cha ajabu!

View attachment 3390951
Sasa kimbe mna wadhamini wooote hao, kwann kila siku lawama mnazielekeza kwa Ponjoro wa Dubai?
 
Sasa kimbe mna wadhamini wooote hao, kwann kila siku lawama mnazielekeza kwa Ponjoro wa Dubai?
Kwa kauli hiyo bado nasema inahitajika:
1. Elimu
2. Vichwa vya kupokea elimu

Elimu ipo, ila vichwa vyenyewe ndio kama cha wewe. Watu hawajui mdhamini ni nani, na mwekezaji ni nani. Kuna jamaa akahoji eti mbona Jayrutty anatoa 38B wakati Mo anatoa 20B? Nikasema tuna safari ndefu, watu wanachojua ni mpira unapigwa kwenda mbele. Ndio maana naunga mkono Karia kuendelea kuongoza TFF, hakuna vichwa kabisa!
 
Kwa kauli hiyo bado nasema inahitajika:
1. Elimu
2. Vichwa vya kupokea elimu

Elimu ipo, ila vichwa vyenyewe ndio kama cha wewe. Watu hawajui mdhamini ni nani, na mwekezaji ni nani. Kuna jamaa akahoji eti mbona Jayrutty anatoa 38B wakati Mo anatoa 20B? Nikasema tuna safari ndefu, watu wanachojua ni mpira unapigwa kwenda mbele. Ndio maana naunga mkono Karia kuendelea kuongoza TFF, hakuna vichwa kabisa!
Na elimu hiyo wewe ndio unayo ! 😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom