Tetesi: Chief godlove kuidhamini Simba msimu ujao

Tetesi: Chief godlove kuidhamini Simba msimu ujao

Unaambiwa kuna mgogoro mzito mno huko ,inawezekana msimu ujao GODLOVE akaja kuwa mdhamini wa timu viongozi wanamuuliza mwekezji pesa ya CAF iko wapi haijulikani ilipo amesema hataki maswali ya kipuuzi yeye sio mtunza hazina wamuulize CEO ,cha ajabu CEO anasema hajui chochote

Msimu ujao ni kilio kikubwa..... yajayo yanatisha pale u-koloni View attachment 3390802

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Hivi huyu godlove anafanya ishu gani
 
Hapo ndipo Mtibwa watakuwa na ujasiri wa kusema "Simba naye ni my wetu *
 
Nadhani elimu ya biashara ya mpira inawapiga chenga watu wengi, hasa wa utopolo (labda kasoro wale wawili).
Kuna ajabu gani Godlove kuidhamini Simba akaungana na wadhamini wengine waliopo? Kwa sasa Simba ina wadhamini wafuatao wakifanya udhamini kwa wakati mmoja:
1. M-Bet
2. Azam TV
3. CRDB
4. NMB
5. Mo Cola
6. Mo Assurance
7. Sandaland
8. Azania Bank
9. Pilsner Lager
10. ATCL
11. Africarriers

Inayoongezeka
1. Diadora
2. Jayrutty

Sasa watu wajinga wajinga kama Labani og wanadhani kudhaminiwa klabu kubwa yenye mafanikio katika michuano ya Afrika ni kitu cha ajabu!

View attachment 3390951
Kikubwa Simba iwe imara ... at least ilete ushindani Kwa yanga

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Unaambiwa kuna mgogoro mzito mno huko ,inawezekana msimu ujao GODLOVE akaja kuwa mdhamini wa timu viongozi wanamuuliza mwekezji pesa ya CAF iko wapi haijulikani ilipo amesema hataki maswali ya kipuuzi yeye sio mtunza hazina wamuulize CEO ,cha ajabu CEO anasema hajui chochote

Msimu ujao ni kilio kikubwa..... yajayo yanatisha pale u-koloni View attachment 3390802

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
back2back×10 wananchi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom