Leo majira ya saa tisa na dakika thelathini na nane usiku (03:38) kumetokea tetemeko la ardhi katika baadhi ya maeneo ya mkoa wa Morogoro,yakiwemo maeneo ya Bigwa,Kolla B,Misongeni Lilidumu kwa sekunde chache sana,ila lilitikisa kweli kweli!mpaka sasa hakuna madhara yaliyoripotiwa kusababishwa na tetemeko hilo.
Tunaomba taarifa kamili kutoka kwa vyonbo husika!
Kama kuna mwenye taarifa zaidi, juu ya tetemeko katika maeneo mengine, atujuze.
Tunaomba taarifa kamili kutoka kwa vyonbo husika!
Kama kuna mwenye taarifa zaidi, juu ya tetemeko katika maeneo mengine, atujuze.