Muda huu tetemeko la ardhi limepita huku Mwanza nakagua gheto langu kama limesalimika
=======================
Tetemeko la Ardhi lenye ukubwa wa 4.6 limetokea maeneo ya kanda ya ziwa usiku wa kuamkia leo.
>>>Taarifa ya chini inaonyesha Maeneo na Umbali kutoka kwenye Kitovu cha Tetemeko hilo:
=======================
Tetemeko la Ardhi lenye ukubwa wa 4.6 limetokea maeneo ya kanda ya ziwa usiku wa kuamkia leo.
>>>Taarifa ya chini inaonyesha Maeneo na Umbali kutoka kwenye Kitovu cha Tetemeko hilo:
- Masumbwe, Tanzania 31.3 km (19.5 mi) NE
- Ushirombo, Tanzania 47.1 km (29.2 mi) E
- Kahama, Tanzania 50.3 km (31.2 mi) NNW
- Mhango, Tanzania 54.5 km (33.8 mi) WSW
- Geita, Tanzania 67.2 km (41.8 mi) SSE