Ili kumpima baby wako mwambie hv: "baby i love you.." atakujibu: "i love u too.."mwambie tena: "baby i miss you "atakujibu: "i miss you too" mwambie tena: "baby nakutumia 50000 kwenye m-pesa.." Akikujibu: nakutumia 50000 kwenye m-pesa too!!" basi huyo atakuwa wa ukweli