HT
JF-Expert Member
- Jul 29, 2011
- 1,897
- 414
Kuna mwanJF amesema anatumia Modem zilizo locked kwa laini mbalimbali. Yaani locked modem ya tigo kwa laini ya voda ktk ubuntu. Sijajua kama ni kweli. Nimejaribu kupata tools nifanye jaribio, so far sijapata. Kama kuna mtu anaweza kujaribu au alishajaribu tuhakikishe!
Ahsante,
HT
Ahsante,
HT