Tesla imeungana na Apple, Amazon, Google, Facebook na Microsoft kuwa na historia ya kufikisha thamani dola ya Tril 1. Apple ilikuwa kampuni ya kwanza kufikisha thamani ya dola Trillioni 1 mwaka 2018.
View attachment 1987480
Tesla imepanda thamani baada ya kupata dili la kuuza magari 100,000 kwa kampuni ya Hertz.