tonicimmobility
JF-Expert Member
- Jun 17, 2025
- 493
- 1,038
Mtia nia wa Ubunge Jimbo la Moshi Vijijini Victor Tesha alivyojinadi kwa wajumbe ili wampe ridhaa ya kugombea katika Jimbo la Moshi Vijijini katika zoezi linaloendelea hii leo. Katika mazungumzo yake ya kumwaga sela Victor Tesha amewaahidi wanachi wa Moshi vijijini kuwa yeye ni kiongozi anayetatua matatizo bila kutegemea muongozo.
Soma pia: Prosper Tesha: Wachimbaji madini tumekubaliana kura zetu zote ni kwa Rais Samia
Chanzo: Kikeke digital
Soma pia: Prosper Tesha: Wachimbaji madini tumekubaliana kura zetu zote ni kwa Rais Samia
Chanzo: Kikeke digital