Usiangalie tu cheapness angalia na fashion, pamoja na maintanance cost. Hapa kwetu sakafu za mbao siyo maarufu, yaani sijawahi ona kwenye nyumba ya mtu. Mbao zinazofaa kwa sakafu ni zile za tiki ambazo ni ngumu sana, ni ghali sana hizi mbao. Kwa kuwa si maarufu basi hata mafundi wazuri hutawapata itabidi uagize kutoka nje. Maintanance cost ya floor ya mbao ni kubwa.Hivyo hii option achana nayo.
Terrezo ni old fasion. Duu na sijui kwa nini umewaza hizi kitu.
Option nyingine ni kutandika kapeti floir nzima. Hii ni nzuri na ibapendeza. Ila watu wengi wana ogopa kapeti kuchafuka hasa kwa kumwagiwa vitu kaka maji, vyakula mikojo ya watoto n.k. Lakini siku hizi kuna machine nzuri zinatumia umeme na maji ya sabuni unaweza kusafisha kirahisi kila linapochafuka.
Kuondoa complication ndo maana watu wanaweka tu tiles