Terazzo vs Tiles vs Mbao

Terazzo vs Tiles vs Mbao

Mtu Poa 2013

Senior Member
Joined
Mar 26, 2013
Posts
117
Reaction score
85
Mambo

Ninafikiria kutengeneza sakafu ya nyumba yangu. Options zilizopo ni tiles terazzo au sakafu ya mbao. Kwa wale wenye uzoefu wa ujenzi, sakafu ipi kati ya hizo ni cheapest kujenga?
 
Mambo

Ninafikiria kutengeneza sakafu ya nyumba yangu. Options zilizopo ni tiles terazzo au sakafu ya mbao. Kwa wale wenye uzoefu wa ujenzi, sakafu ipi kati ya hizo ni cheapest kujenga?
Usiangalie tu cheapness angalia na fashion, pamoja na maintanance cost. Hapa kwetu sakafu za mbao siyo maarufu, yaani sijawahi ona kwenye nyumba ya mtu. Mbao zinazofaa kwa sakafu ni zile za tiki ambazo ni ngumu sana, ni ghali sana hizi mbao. Kwa kuwa si maarufu basi hata mafundi wazuri hutawapata itabidi uagize kutoka nje. Maintanance cost ya floor ya mbao ni kubwa.Hivyo hii option achana nayo.

Terrezo ni old fasion. Duu na sijui kwa nini umewaza hizi kitu.

Option nyingine ni kutandika kapeti floir nzima. Hii ni nzuri na ibapendeza. Ila watu wengi wana ogopa kapeti kuchafuka hasa kwa kumwagiwa vitu kaka maji, vyakula mikojo ya watoto n.k. Lakini siku hizi kuna machine nzuri zinatumia umeme na maji ya sabuni unaweza kusafisha kirahisi kila linapochafuka.

Kuondoa complication ndo maana watu wanaweka tu tiles
 
Usiangalie tu cheapness angalia na fashion, pamoja na maintanance cost. Hapa kwetu sakafu za mbao siyo maarufu, yaani sijawahi ona kwenye nyumba ya mtu. Mbao zinazofaa kwa sakafu ni zile za tiki ambazo ni ngumu sana, ni ghali sana hizi mbao. Kwa kuwa si maarufu basi hata mafundi wazuri hutawapata itabidi uagize kutoka nje. Maintanance cost ya floor ya mbao ni kubwa.Hivyo hii option achana nayo.

Terrezo ni old fasion. Duu na sijui kwa nini umewaza hizi kitu.

Option nyingine ni kutandika kapeti floir nzima. Hii ni nzuri na ibapendeza. Ila watu wengi wana ogopa kapeti kuchafuka hasa kwa kumwagiwa vitu kaka maji, vyakula mikojo ya watoto n.k. Lakini siku hizi kuna machine nzuri zinatumia umeme na maji ya sabuni unaweza kusafisha kirahisi kila linapochafuka.

Kuondoa complication ndo maana watu wanaweka tu tiles

Sakafu za mbao zinakuja zimeshatengenezwa, ukishaweka subfloor chini unaanza kupanga (zinainterlock zenyewe) na kugonga tuu, ukiwa na pneumatic hummer hata wewe unazifunga vizuri tu, mbao zinakuwa polished tayari ukimaliza unafuta tu, na hata gharama ya maintainance ni ndogo sana kama unajua wapi pa kupata vifaa, tena unaweza kufanya wewe na vijana wako nyumbani weekend moja tu! Nilishawahi kuziona kwa rafiki yangu mmoja na nilimsaidia kuziweka kwenye sebule yake ya juu (tena zilikuwa bamboo based). Tatizo hizi zinatakiwa maeneo makavu ili unyevunyevu usipenye kwa wingi ukavuka subfloor na kuharibu mbao.

Terazo wewe unaita old fassion, au kwa vile uliziona zamani kwenye mashule yaliyojengwa na mkoloni, terazzo bado ipo mpaka sasa na iko hot vilevile, kikubwa ni finnishing, sikuhizi zinakuwa stained na inan'aa kama kioo.

Tiles si rahisi pia, labda kama unanunua cheap za mshina. Tatizo la tiles ni pale unapotaka kufanya renovation inabidi ubomoa. BTW, hii kwa watu wa kipato cha kati ndiyo yenyewe, chagua tile nzuri tu original zisizochubuka.
 
Shida ya terrezzo kwa Tanzania ni mafundi tu, kuna nchi nilitembelea wao wanatumia sana terrazzo yaani inang'aa na inakuwa nzuri balaa kiasi nikatamani kwenye ujenzi wangu niweke terrazzo.

Nimehangaika mafundi sijapata, nilipata mafundi fulani Kariakoo wana longolongo sana yaani mpaka nikaachana nao! Naona muda unazidi kwenda wazo la tiles linarudi taratiiibu!!

Kama kuna mafundi mahiri wa terrazzo mahali tujulishane TAFADHALI!!

CYBERTEQ
 
Ninapenda terrazo kweli kweli nami nimetafuta mafundi inaonekana hawana hy uelewa.. ila ni.expensv kweli kweli... terrazo ndo mpango mzima
 
Picha jamani

Manengelo
tarazo.jpg
tarazo1.jpg
tarazo2.jpg
 
ninapenda terrazo kweli kweli nami nimetafuta mafundi inaonekana hawana hy uelewa.. ila ni.expensv kweli kweli... terrazo ndo mpango mzima

Kizuri gharama ndugu but ni material nzuri hasa! Naipenda mno
 
Shida ya terrezzo kwa Tanzania ni mafundi tu, kuna nchi nilitembelea wao wanatumia sana terrazzo yaan inangaa na inakuwa nzuri balaa kiasi nikatamani kwenye ujenzi wangu niweke terrazzo.

Nimehangaika mafundi sijapata, nilipata mafundi fulani Kariakoo wana longolongo sana yaan mpaka nikaachana nao! Naona muda unazidi kwenda wazo la tiles linarudi taratiiibu!!

Kama kuna mafundi mahili wa terrazzo mahali tujulishane TAFADHALI!!

CYBERTEQ
Naonaga mafundi wengi wako hapa FB Kuna group linaitwa UJENZI ZONE(Since 2012) na lina fan base kubwa sana.
 
Shida ya terrezzo kwa Tanzania ni mafundi tu, kuna nchi nilitembelea wao wanatumia sana terrazzo yaan inangaa na inakuwa nzuri balaa kiasi nikatamani kwenye ujenzi wangu niweke terrazzo.

Nimehangaika mafundi sijapata, nilipata mafundi fulani Kariakoo wana longolongo sana yaan mpaka nikaachana nao! Naona muda unazidi kwenda wazo la tiles linarudi taratiiibu!!

Kama kuna mafundi mahili wa terrazzo mahali tujulishane TAFADHALI!!

CYBERTEQ
Wapo jamaa FULANI tena wanna na mashine za kusugulia hiyo terrazzo flooring
 
Ghorofa za kwakina lisu maeneo ya Area "D" Mkuu kule siwezi ingia nikapiga picha
 
Shida ya terrezzo kwa Tanzania ni mafundi tu, kuna nchi nilitembelea wao wanatumia sana terrazzo yaan inangaa na inakuwa nzuri balaa kiasi nikatamani kwenye ujenzi wangu niweke terrazzo.

Nimehangaika mafundi sijapata, nilipata mafundi fulani Kariakoo wana longolongo sana yaan mpaka nikaachana nao! Naona muda unazidi kwenda wazo la tiles linarudi taratiiibu!!

Kama kuna mafundi mahili wa terrazzo mahali tujulishane TAFADHALI!!

CYBERTEQ
Terrazzo Ni nzuri hupendeza hasa pale inapo changanywa kokoto za rangi pink.nyeupe,nyeusi halafu iwekwe kwa SARUJI NYEUPE (WHITE CEMENT)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom