Tengeneza Urafiki na watu wanaofanya biashara unayoifanya au utakayotaka kuifanya "utafanikiwa"


Ngoja nikamtafute Member mmoja alishawahi niambia nimpe tofauti ya Mjasiriamali na Mfanyabiashara

Kwa nondo hii asipoelewa au ambulia chochote atakua ana "namna",Asante Mr. Purpose kwani jibu hili limempa mtu elimu kubwa.
 
Tofauti ni ipi hapo kati ya mfanyabiashara na mjasiriamali?

Nakuomba kwa faida ya wengine utuwekee tofauti kati ya (1)machinga
(2)mjasiriamali

(4)mfanyabiashara


one one
Msonjo Khan
 

That's my bro CONTROLA 💥
Nakuelewaga sana wewe..... akili kubwa
 
Nimekupata mkuu. Sema kuna watu masnitch we Acha.

Jamaa anajuana na mwwnye frem. Ananidalalia fremu just because anajuana na mmiliki. C unajua mjini kila kima ni dalali.
Mi najiuliza nn cha kufungua namaliza kujiuliza nampigia jamaa nakuja twende tukalipe kwa mwenye fremu. Jamaa ananiambia wahi watu wengi wanaitaka fremu.Najiandaa nikalipe mara paap meseji. "frem ishachukuliwa, mwenyewe anasema" Duh nkasema baasi sio rizki.

Siku zikapita. Mara paap kwenye ile fremu naona matangazo biashara xxx opening soon. Mimi hapo hapo kama meter kadhaa labda 150m hivi nna duka langu lingine nauza bidhaa hiyo hiyo xxx.
Nikasema yalaaaaa nshapata mshindani. Nikasema poa kila mtu na rizki yake.
Siku zikapita maraaaa ...surpriiiiiseee... kumbe Yule dalali fake kanizunguka kachukua hiyo fremu on top of that kafungua biashara km yangu vile vile yaani. Kwanza alinidanganya ilishachukuliwa kumbe ni yeye bhana.

Akawa kila nikipita anainama chini kama kondoo ila mi nkamuambia wife don't worry tukomalie ubora km siku zote coz we are established more than him yeye wa juzi tu.

Nadhani mnaelewa hapa... tatizo c kufungua biashara km yangu ...this is very acceptable kua na competitor. But the nature nliompata huyu competitor raised my eyebrows.

Halaf akaanza kuja kuulizia apate ujuzi kwangu kupitia muuzaji wangu. Baasi nikatoa biti Kali kwa muuzaji wangu sitaki kukuona unampa Siri za Aina yoyote. aende mbele uko akatafte info kwa wengine.

Mr CONTROLA unataka nishirikiane na huyu paka.????!!!! Not in this case jamaangu sio kwa u snitch huu. Km angekua tu mtu mwingine Sawa. Ndio maana nimeikubali mada yako very educative but sio kwa mtu km huyu.
 
Unajua ukweli wa mambo
 
Mzee controla location ya kuuzia vifuniko vya asali ni mbagala. Wauza vyupi ni wengi mno...nimeanza kwenye goli la barabarani nimewekeza capital ya 1.3m...ningeshukuru kupewa ujanja zaidi
kokudo huyu mwanafunzi sio wako kweli!

Naamini una mmudu hebu msaidie kuna siku hakuwepo darasani...

Mr.Clever utamshukur huyo mtu maana akija hatokunyima siri za kambi...
 
Mzee controla location ya kuuzia vifuniko vya asali ni mbagala. Wauza vyupi ni wengi mno...nimeanza kwenye goli la barabarani nimewekeza capital ya 1.3m...ningeshukuru kupewa ujanja zaidi
Mkuu unataka ujanja wa kuongeza thaman au namna ya kujitangaza?

Kwa natural ya hapo unahitaji mambo hayo mawili ni muhimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…