love more than100
JF-Expert Member
- Jan 27, 2014
- 2,061
- 715
Huu Msemo Nimeamin Sasa!! Japo Nilikua Nauamin, Lakin Sasa Nimezidi Kuuamini. Nimetoka Dar Nimekuja Mkoan Kikaz, Nyumba Nayoishi Pemben Kuna Jirani Nilietokea Kupatana Nae, Na Mimi Kuja Mtaa Huu, Imekua Kma Neema Kwake.
Kiukwel Jamaa Hayupo Vizuri Kimaisha Hata Ukimuangalia Tuu Utajua Hilo, Anyway Mimi Kma Kawaida Uwa Siangalii Sanaa Mambo Kma Hayo Uwa Naangalia Urafik Mwema, Jamaa Amekua Rafik Yangu Wa Karibu Na Mwenyej Wangu Pia Na Nimekua Namsaidia Sanaa, Hana Chakula, Namnunulia Chakula Mpka Vocha Namtumia!
Nikiwa Home Anakuja Tunachil Na Mara Nyingi Unieleza Matatizo Yake Namsaidia Na Nimegundua Mimi Ndie Naemsaidia Sanaa Kuliko Hata Rafik Zake Niliomkuta Nao.
Hapa Hapa Mtaan Kuna Binti Flani, Huyu Binti Toka Mwnazo Amekua Akionyesha Dalili Za Kunipenda. Sasa Leo Nmekutana Nae Mahali Huyu Binti Akaanza Kulalamika, " Ohoo Erick Kumbe Ww Malaya Una Tabia Mbaya Mhuni"....Maneno Kibao!! Nikashangaa, Nikamuuliza Una Uhakika?? Akaniambia Ndio!! Nikamuuliza Ushahidi??
Binti Akatoa Simu Kucheki, Msg Za Mshkaji Huyu Jiran Na Mwenyej Wangu, Msg Zinaniponda Vibayaaa Sanaaaa!! Maneno Mengiii Sanaa Ya Uongo Juu Yangu, Nilipomaliza Kuzisoma, Nikamwambia Binti, Kma Huu Ndio Ushahidi Na Umemuamini Jamaa, Sawa Mungu Anajua!! Kisha Nikaondoka Zangu. Nimefika Home, Nimemkuta Jamaa Ananisubil Kwa Nje, Baada Ya Salam, Tukaingia Ndan, Sikumuonyesha Dalil Yyte Mbaya, Tukiwa Sebulen Jamaa Akaniomba Nimtumie Credit, Nikamtumia.
Tumekaa Sebulen Mpka Saa Tano Akaondoka. Ila Kabla Ajaondoka Binti Alipiga Sanaa Simu Sikupokea!! Sijui Huyu Jamaa Nimemkosea Nini Mpka Anifanyie Hivi?? Au Wema Wangu Kwake?? Yaan Pamoja Na Kujifanya Rafik, Upande Wa Pili Ananipondea Vibayaa!!!! Ama Kweli Tenda Wema Uende Zako!!
Ww Unamfahamu Mpka Useme Nimemuanika?? Then Ulitaka Nikurupuke Tuu Kuanza Kumwambia?? Then Point Yangu Kubwa Si Kutafuta Kuyamaliza Na Huyu Jamaa Ila Nilitaka Watu Wajue Jinsi Binadamu Na Marafik Walivyo!! Yy Aniseme Weeeee...Its Ok!!!Huo msemo kwako umepoteza maana, wema ni Kati yako ww, unayemtendea pamoja na Mungu wako, kuja kwako hapa na kututangazia huo wema wako na kumuanika huyo jamaa hustahili kabisa kutumia huo msemo.... Ungemueleza jamaa kuhusu hayo anayoyafanya na kama akashindwa kukuelewa bas ni kumuepuka na kupiga kimya ibaki siri moyoni mwako na Mungu angekulipa kwa yote uliyomtendea na sivyo ulivyo fanya.
Huu Msemo Nimeamin Sasa!! Japo Nilikua Nauamin, Lakin Sasa Nimezidi Kuuamini. Nimetoka Dar Nimekuja Mkoan Kikaz, Nyumba Nayoishi Pemben Kuna Jirani Nilietokea Kupatana Nae, Na Mimi Kuja Mtaa Huu, Imekua Kma Neema Kwake.
Kiukwel Jamaa Hayupo Vizuri Kimaisha Hata Ukimuangalia Tuu Utajua Hilo, Anyway Mimi Kma Kawaida Uwa Siangalii Sanaa Mambo Kma Hayo Uwa Naangalia Urafik Mwema, Jamaa Amekua Rafik Yangu Wa Karibu Na Mwenyej Wangu Pia Na Nimekua Namsaidia Sanaa, Hana Chakula, Namnunulia Chakula Mpka Vocha Namtumia!
Nikiwa Home Anakuja Tunachil Na Mara Nyingi Unieleza Matatizo Yake Namsaidia Na Nimegundua Mimi Ndie Naemsaidia Sanaa Kuliko Hata Rafik Zake Niliomkuta Nao.
Hapa Hapa Mtaan Kuna Binti Flani, Huyu Binti Toka Mwnazo Amekua Akionyesha Dalili Za Kunipenda. Sasa Leo Nmekutana Nae Mahali Huyu Binti Akaanza Kulalamika, " Ohoo Erick Kumbe Ww Malaya Una Tabia Mbaya Mhuni"....Maneno Kibao!! Nikashangaa, Nikamuuliza Una Uhakika?? Akaniambia Ndio!! Nikamuuliza Ushahidi??
Binti Akatoa Simu Kucheki, Msg Za Mshkaji Huyu Jiran Na Mwenyej Wangu, Msg Zinaniponda Vibayaaa Sanaaaa!! Maneno Mengiii Sanaa Ya Uongo Juu Yangu, Nilipomaliza Kuzisoma, Nikamwambia Binti, Kma Huu Ndio Ushahidi Na Umemuamini Jamaa, Sawa Mungu Anajua!! Kisha Nikaondoka Zangu. Nimefika Home, Nimemkuta Jamaa Ananisubil Kwa Nje, Baada Ya Salam, Tukaingia Ndan, Sikumuonyesha Dalil Yyte Mbaya, Tukiwa Sebulen Jamaa Akaniomba Nimtumie Credit, Nikamtumia.
Tumekaa Sebulen Mpka Saa Tano Akaondoka. Ila Kabla Ajaondoka Binti Alipiga Sanaa Simu Sikupokea!! Sijui Huyu Jamaa Nimemkosea Nini Mpka Anifanyie Hivi?? Au Wema Wangu Kwake?? Yaan Pamoja Na Kujifanya Rafik, Upande Wa Pili Ananipondea Vibayaa!!!! Ama Kweli Tenda Wema Uende Zako!!
Kama Kipi Mkuu??Kuna kitu hakipo sawa.
Unadhani Aitaleta Ugomvi??Weeeee funguka 2 umwambie jamaaa
Na kwann umeshndwa kumuuliza jamaaa mwenyew..??
ndio maana sometime ukipiga mapema utulie .....ukionsha respect wanazingua
Labda umeingilia gepu lake...
Chunguza may be jamaahiyo papuchi nae ailikua anaiwinda