Tenda tenda ya sembe songea

Tenda tenda ya sembe songea

Joined
Jun 22, 2014
Posts
42
Reaction score
7
Nauza na pia Natafuta tenda ya ku supply unga wa sembe ku mashule au hata watu binafsi kwa jumla na rejareja coz nina maroba ya kutosha.kwa jumla kilo 700 tu,,na unga ni mzuri sana.npo karibu na uwanja wa majimaji songea nyote mnakaribshwa

unaweza kunipm au nichek thu 0752750598
 
Bei yako ni kubwa mkuu,hapa dsm ni 36000/=kwa kg 50.
 
Jamani nauza/napangisha Nyumba Songea ipo Mkuzo karibu na msamala bei ni maelewano.
Nipigie 0756 303344
Karibu tufanye biashara.
 
Back
Top Bottom