nimekuambia pia, again again and again?
Unasoma post zangu!!?
Wamasai wameingia disco. lol
Hahaahaa si ndio hao hao waliomkubali Yesu?
Au ile thread unayopigia kifua kuhusu civilazation imekushinda?
Nakuona hivyo.
Ngoja niongeze bia moja
Kumbe na wewe ni mnyenyekevu. lol
Mnyenyekevu wa nini?
Deen is attractive for those who cannot handle scientific uncertainty. They get bewildered, just like you.
Science is for the stronger minds[kama mimi], who can handle uncertainty and the probable fact (that we of course try to falsify) that we will never know all about everything, let alone can explain.
Ushauri wa bure
How about you really reading a bible yourself? Really reading it, i.e. not only to understandingless repetition (and (mis)quoting) of text, but to critically review and understanding of what is said and meant in and by that text? A more educated, by moments scientific reading and reflection on texts? Ever tried? Or don't they teach that at your school Max!!?...
NOW, ANSWER MY QUESTIONS.. And please use your own words and your own knowledge (if any).
Maelezo yako kwenye thread hii, umesema "Moses ndiye aliyepewa amri kumi za Mungu.
Moses alizaliwa {makadirio} miaka 1400 kabla ya kristo.
Moses ndie aliyepewa amri kumi za munguKatika torat ndio wanaosema alionana na mungu macho kwa macho.
Waislamu wanamuita Musa bwana wa mabwana.
Yesu aliwahi kuulizwa je umekuja kuibadilisha torat ya Moses? akajibu sikuja kuibadili bali kuiboresha {kwa maana hio kuongezea machache nakuendelea aliyoacha Moses.
Moses alipewa amri kumi na mungu kwenye jiwe, na lugha iliyotumika wakati ule ilikua Hebrew.
Sasa soma tena swali lako number nne (4), halafu tafuta jibu kwenye thread yako mwenyewe, kama nilivyo quote hapo juu. Je, kuna Moses wangapi walio zungumziwa kwenye hii thread?
Be blessed and enjoy your Christmass and New Year
Sasa jibu maswali yangu ya sunday school ambayo bado yanakukimbiza mputa.
Prove to me that God does not exist. Only verifiable, tangible, and watertight exhibits are partmited.
Define language and alphabet.
Nina uhakikika hutojibu na kuja na blah blah blah zenu.
Prove to me that God does not exist. Only verifiable, tangible, and watertight exhibits are partmited.
Swadakta mkuu.
Post number 4!! mpaka sasa hujaona tofauti bado?
Kuhusu hio lugha sasa. The holy tongue [which are today 'Jewish' Armaic (I am aware this is a wrong term, but it consist of 6 different dialects which are not interesting to give here] and 'Biblical' Hebrew. The sanctifying of the language started somewhere 100 CE... Meaning that before Hebrew was considered as just a language like ours (proves for this statement have been found in excavations, on stone tablets in bothe Israel (the upper kingdom) and Judea (the lower kingdom) and in Jerusalem. The excistence of at least 3 different dialects (all influenced by other semitic languages nearby) and reflected by different versions of the same (biblical texts) are all backing up this statement.
Further... huyo Moses Did not learn Hebrew in court. No logical reason for it, since our Kikwete is not learning Congolese or Zulu... Maybe French for the sake of Kabila and and English (being Highschool languages) but that's it. The same goes for Royal Egypt anno da zumahl. They spoke and wrote Egyptian [might be known with the people of ISrael two.. as they performed various acts of slavery - On Egyptians commands]... Egyptian influence (in language) can be found in psalm 114. .. Further Akkadian was a diplomatic language AND a semitic language which Abraham must have spoken. Akkadian was know at court [see rosetta stone].. And maybe with the Hebrews aswell [Akkadian lonewoards and language influences are scatter throughout the 'old' parts of the Hebrew bible.
When god says.. I speak to you in a clear language [meaning, for everyone to understand], than obviously He would NOT pick Hebrew [since 1] it did not excist, 2) being a canaanitic language, nobody had been to canaaan, it would not have been a language the people understood or would likely to gain control of in the near future. 3) Both Akkadian and Egyptian (for now) can be considered known languages i.e. clear languages for both Moses (who had to wright everything down) and his people.
Ni vigumu sana kumuelewesha mtu ambaye amejiandaa kutokukuelewa, ngumu sana! Max wewe una moyo mkuu, ni mvumilivu mno! endelea tu baba hata Sauli (Paulo) alikuwa na moyo mgumu hivyo kumwamini Yesu, lakini siku moja akauona ukweli. .