Tembo card Mount Meru hospital inachelewesha matibabu

SAUTI YAKO

JF-Expert Member
Jan 25, 2014
2,944
2,032
Nafurahi sana ukifika pale hata kama unavuja damu muda huu utasitizwa kwanza nenda ukakate tembo card utafikiri umeenda kufungua akaunti ya crdb ambayo inabidi uwe na elfu 12 na mia 5 ,cha ajabu utaratibu huo sio kama unapomaliza kukata hiyo tembo card utaelekea moja kwa moja kwa dokta ni hiyo card hapana itabidi tena Sasa uelekee kwa muuguzi akujazie kadi ndio uende kwa dokta huku ni kupoteza muda maana huyo anayejaza kadi ingekuwa shida ni kukusanya mapato angekusanya hela na mashine ingewekwa karibu yake ya kutolea risiti.wapo wengi wanajiuliza swali hili maana hiyo tembo card ukiwa pale hospital hauwezi lipia kwenye dirisha LA dawa Bali unatoa hela mfukoni na unapewa risiti ya tra.wenye kuelewa tembo kadi pale INA maana gani naomba mtusaidie maana kuuliza sio ujinga.
 
Tulio mjini daslama tushazoea ndo hali ya mjini pata kadi pata matibabu hakuna namna mapato yote yanaingia hazina hakuna blablaa hela kubaki hospital
Hospital inapata share toka hazina kujiendeleza
Ndokuisoma nambakwenyewehuko
 
Sio mount meru tu, hata hospitali nyingine ziko hivo!

Naona wameshtukia wizi uliokuwa unafanyika mahospitalini, kama pale tengeru wajinga walikuwa wanapiga hela kinooooma.
Yule dada aliyekuwa anachukua hela pale kama hana gorofa hajengi tena hata mgongo wa tembo
 
Sio mount meru tu, hata hospitali nyingine ziko hivo!

Naona wameshtukia wizi uliokuwa unafanyika mahospitalini, kama pale tengeru wajinga walikuwa wanapiga hela kinooooma.
Yule dada aliyekuwa anachukua hela pale kama hana gorofa hajengi tena hata mgongo wa tembo
Huwezi amini na kadi zenu bado watu wanapigaaa kinoma, mtanzania acha awe mtanzania tu juzi nimepita maeneo arusha nimekuta viroba vimejaa kama havijafungiwa!
 
Huwezi amini na kadi zenu bado watu wanapigaaa kinoma, mtanzania acha awe mtanzania tu juzi nimepita maeneo arusha nimekuta viroba vimejaa kama havijafungiwa!

Umaskini si uko kwenye damu yetu,
Maana hatutaki kulipa kodi na TRA nao wanamkomoa anayelipa kodi!
 
Naona Hata Mleba
Hospital ya Rubya iko hivyo ila wanacherewa mno kiasi kwamba unasubiria mno
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom