Tembea

Edgartz

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2010
Posts
241
Reaction score
23
Tembea uone hizi ndo bucha za wenzetu
 

Attachments

  • 1414833446127.jpg
    61.7 KB · Views: 808
Daah kiongozi maeneo yote uliyotaja wanauza nyama kwa dizaini hii ila hapa ni tete mozambique
 
Mbona hata huk kigoma kijij cha kitambuka tunaishi na kununua nyama kiivyo then bei cheee buk2
 
hata huku kwetu ile nyama pendwa kitis inauzwa style hiyo hiyo___
hapa machame shari
 
hata huku kwetu ile nyama pendwa kitis inauzwa style hiyo hiyo___
hapa machame shari

Mmh me kwa tz nilijua hamna style kuuza nyama kama hivi na hapa ni mjini sio kijiji
 
Daah kiongozi maeneo yote uliyotaja wanauza nyama kwa dizaini hii ila hapa ni tete mozambique

Maeneo hayo yote yana kama uingiliano wa aina fulani sijui kwa sababu wamepakana.
 
afya kitu gani wewe
unafikiri zile nyama za makopo ndio zenye afya ?

wapi nimeongelea za makopo afya muhimu hata hizo ziuzwe katika mazingira safi yanayoridhisha
 
Haya sasa,hapa ni mnada wa Gendi- Babati-Manyara na minada kibao hapa TZ kunauzwa nyama taka. Tembea uone.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…