Tembea Uone, Inafaa sana Master Bedroom

Halafu mbona kama wazungu ndani ya hicho Choo, mtu katoka kupiga puli kaacha wazungu wakieleaelea.
 
Na kutiana magenye yasiyotarajiwa!!!!
Duuh! Sijakuelewa mkuu, ukiguswa 0713....unapatwa na genye!!
Magu,.. Twende zetu DODOMA, Dar (Sodoma) moto wa kiberiti unakaribia kuunguza.
 
Kama kinachamba kwa pressure kubwa hivyo ina maana inabidi mtu asaule nguo zote.
Wewe sasa unataka kubadilisha akili za watu waanze kubana miguu au kuingiza mikono mfukoni..... Maumivu ya kichwa huanza pole pole..... Kuna watu washasema hapa usianzishe genye.... Na wapo wanakusikia.
 
Washoga wataongezeka......Japan kimepigwa marufuku
 

Dot dot dot dot...... hahahahahaa that was my first thread as Kasinde.. .. moja ya holiday za Kasie ndo nikakutana na vyoo vya jinsia hiyo.
 
Dot dot dot dot...... hahahahahaa that was my first thread as Kasinde.. .. moja ya holiday as Kasie ndo nikakutana na vyoo vya jinsia hiyo.
Nimejikuta vuupu nipo humu eti haha pole
 
Vizuri kwa kina mama viko sana nchi ambazo Moslems ni majority ya population,
Kasie hujambo mpenzi?
 
Vizuri kwa kina mama viko sana nchi ambazo Moslems ni majority ya population,
Kasie hujambo mpenzi?

Oooh na huko nilikokikuta ilikuwa moja ya nchi as kiislamu.

Moe sijambo, ila mapenzi ya Kiraka na Kasie yameanza lini.... kutokea wapi na kuelekea wapi....
 
Oooh na huko nilikokikuta ilikuwa moja ya nchi as kiislamu.

Moe sijambo, ila mapenzi ya Kiraka na Kasie yameanza lini.... kutokea wapi na kuelekea wapi....

Yako miaka nenda rudi mioyoni mwetu, sasa yamejaa yameamua kujitokeza tu...

Yaani hata mimi sijielewi... twende taratibu tujajua.
 
Yako miaka nenda rudi mioyoni mwetu, sasa yamejaa yameamua kujitokeza tu...

Yaani hata mimi sijielewi... twende taratibu tujajua.

Heheheheheheheheee polee (nikisema umedandia treni kwa mbele sikudhihaki au kukutukana) namaanisha umekosea na umepotea... you need to be a literature to know and read Kasies mind.... very few have that capacity. Bila kumtaja anasomeka tuu jinsi anavyoswing na Kasie.. .. hadi raha.
 
Hata kariakoo nilikipata
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…