ng'ombo
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 418
- 619
Mo Dewji anatarajia kununua gari mpya aina ya Telsa model 3, ambalo linasifika kuwa ni la kiusalama zaidi kuliko mengine yote duniani, linauzwa dola 46,000 (TAS 106,000 Milioni ) Inatumia gesi na umeme tu. Sifa kubwa ya gari hii ni halina muungurumo linatembea kimya kimya, lina camera za dashboard zina uwezo wa kuchukua matukio yote mbele nyuma na pembeni kuzunguka gari na huchukua video zenye ubora wa hali ya juu, yaani HD.