Telegram wamefeli wapi?

Sasa hiyo inahusiana nini na mambo ya Telegram,angalieni na sehemu za kuweka matangazo yenu. Au si mlipie kabisa hapa jf mpewe air time ya tangazo.
 
inabidi wajitangaze ili na sisi wa tz tuwajue na tuitumie zaid app hiyo au????
 
naionaga tu hii app lakini sijawahi ijaribu kabisa
 
naionaga tu hii app lakini sijawahi ijaribu kabisa
hauko peke yako mkuu... wapo wengi sanaaa bora hata wewe unaionaga wengine wanasema hawaijui kabisa
 
true lakini naona itachukua mda sanaaa telegram kuwa na watumizi wengi hususan kwa tz
 
hauko peke yako mkuu... wapo wengi sanaaa bora hata wewe unaionaga wengine wanasema hawaijui kabisa
hahaha..

nahisi ni kwa sababu wengi huangalia watu wao wa karibu kama wanautumia au la...hiyo husaidia kuwashawishi
 
sahihi sanaaaa mkuuu
 
Nilishaeleza kwenye thread zilizopita nitaeleza tena hapa,

Whatsapp mpaka unaiona leo imekuwa kutokana na mistakes za messengers zilizopita kama vile Nimbuzz, mig33, BBM etc.

Yenyewe imetengeneza mahala salama ambapo watu wanaweza kuchat bila kubugudhiwa na watu usiowafahamu. Whatsapp ni salama kwa mtoto, kijana, mama,babu etc.

Telegram ni tofauti ndani ya sekunde kadhaa tu naweza pata video yoyote ya ngono ninayoitaka, si salama kwa watoto au familia,ni sehemu huru ambayo mtu yoyote anaweza akafanya chochote, hivyo inakuwa ni unique kwa watu fulani tu na sio app ambayo kila mtu anaweza akaitumia.
 
Telegram imekuwa reported multiple time juu ya security ya program yao as whatsapp wanayo end to end encyption
 
but haina watumiaji wengi kama ilivyo whatsap..... wamekwama wapi hawa telegram???
Tanzania vitu huwenda kwa bendera fuata upepo ..........

Telegram kiukweli iko juu ya whastapp kiubora na kiufanisi.....

Imagine me ninatumiana movies za file za hadi GB 2 kwa kutumia telegram, jambo ambalo whatsapp hawana .......

Ni swala la muda tu hii app itakuja kuwa popular sana Tanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…