Telegram nini kinaendelea?

Status
Not open for further replies.
Nipe link pm braza
 
Mimi mteja mkubwa wa huko
kila mkoa unapata pisi kali , acha kuisema vibaya telegram mkombozi wa wanyonge.
 
Mimi niko telegram muda mrefu na natafuta hizo links za wauza nyapu sizipati wewe leo umejiunga eti unakutana nazo....si bure kuna hujuma hapa.
Kabisa mkuu why akutane nazo yeye tu? Alifanyaje fanyaje?
 
Mbona mimi sioni hayo mambo ya ajabu? Unachokitafuta ndicho unachokipata...sijui hata unalalamika nini
 
Link plz maana npo kitambo Telegram ila sielewi chochote kweli conection muhimu
Sina link yoyote mkuu, huwa natumia telegram mara chache Sana lkn sioni kitu cha ajabu napata ninachokitafuta. Naskia kuna machannels huko Malaya wamejaa kibao ushindwe wewe. Ila sijawahi ona. Mtoa mada akupe link
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…