Tecno y 3 msaada

Tecno y 3 msaada

kisimbamiti

Member
Joined
Aug 23, 2016
Posts
8
Reaction score
3
Naomba msaada simu ya tecno y 3 nikiiwasha zinakuja sms nilizotumiwa zamani.je nifanyeje zisiwe zinakuja?
 
Naomba msaada simu ya tecno y 3 nikiiwasha zinakuja sms nilizotumiwa zamani.je nifanyeje zisiwe zinakuja?
Aisee kabla hujapata solution chunga sana kama una michepuko maana hiyo simu itakuumbua
 
Naomba msaada simu ya tecno y 3 nikiiwasha zinakuja sms nilizotumiwa zamani.je nifanyeje zisiwe zinakuja?

Mkuu hizo simu zko hvyo endapo kama haudelete SMS za zaman (Old messages) so cha kufanya futa zote sms za zaman au ndan ya App ya nenda kwenye option tafuta neno "Delete old messages" weka tiki hapo zitakua zinajidelete Automatically kila baada ya muda flan na la mwisho kabisa jaribu kutumia 3rd party applications kama "Go sms, na Textra na nyingne nyingi tu tafuta katka duka la Play store.
 
Back
Top Bottom