Tecno spark K7 inafuta simu

Tecno spark K7 inafuta simu

Steph JK

Senior Member
Joined
Sep 14, 2018
Posts
104
Reaction score
110
Habari JF?
Naomba msaada simu yangu tajwa hapo juu nikipiga picha baada ya muda zunafutika. Msaada jinsi ya kutatua tatizo hilo
 
Hizo TECNO K7 sio simu mkuu ni matoi,
Hiyo ni trela tu picha bado halijaanza...
 
Bado tutegemee maajabu mengi kutoka tecno....Ila mimi mbona sikutani nayo haahaa am a tecno user
 
Habari JF?
Naomba msaada simu yangu tajwa hapo juu nikipiga picha baada ya muda zunafutika. Msaada jinsi ya kutatua tatizo hilo
Kama umeseti picha zikae kwenye memory card seti ziwe zinakaa kwenye memory ya simu.

Kama kuna app mpya umeinstall itoe.

Kama hayo mawili niliyotaja hayana uwezekano wa kusababisha hilo tatizo Irestore
 
Mi niliwahi tumia hiyo cm, sikuona Hilo tatizo, we angalia setting yako kwenye cm labda huja set ile save automatically, Yan ukipiga pic iingie direct kwenye photos,
 
hilo toleo la tecno K7 huwa sipendi hata kuziona sijui kwa nini tu nazichukia.
Kwa ushauri tu, we fanya factory reset, itakaa sawa, ikigoma fanya factory hard reset.
 
Punguza apps mpya ulizo download mwenyewe,pia kama unatumia Hios kama launcher yako itoe iwe inatumia original launcher kwani hiyo huwa wakati mwingine inasababisha simu inakuwa ndivyo sivyo...
 
Mimi nilinunua tecno mpyaa tena ram gb2 ila sio kwa kuganda huko na responding kama zote nikafyekelea mbali
 
Juzi nilkua naenda kituo cha polisi nikiwa na ushahidi wa SMS 2lizotumiana na jamaa akikiri kuchukua simu yangu(nyingine),na kukataa kuirudisha,ebwanaa eeeh nmeeka zangu kitecno changu mfukon,ile nakaribia lango la kituo cha police nakitoa nihakikishe na kuanza kupanga naanzaje kutoa maelezo,salaleeeeeh......nakuta conversation yote kati yangu na jamaa haipo....tafta huku na kule hadi kwenye folders zingine wapi,nikajisemea au jamaa mchawi nini maana nilimwambia nakupeleka police af ghafla SMS znafutika....nkapga u turn kali na kujirudia nilikotoka nkabaki nalaumu hizi simu za tecno,kwakwel Tecno cyo cmu,n vfaa vya mawasiliano vya kutumia ukiwa unajichanga ili kununua cmu
 
Juzi nilkua naenda kituo cha polisi nikiwa na ushahidi wa SMS 2lizotumiana na jamaa akikiri kuchukua simu yangu(nyingine),na kukataa kuirudisha,ebwanaa eeeh nmeeka zangu kitecno changu mfukon,ile nakaribia lango la kituo cha police nakitoa nihakikishe na kuanza kupanga naanzaje kutoa maelezo,salaleeeeeh......nakuta conversation yote kati yangu na jamaa haipo....tafta huku na kule hadi kwenye folders zingine wapi,nikajisemea au jamaa mchawi nini maana nilimwambia nakupeleka police af ghafla SMS znafutika....nkapga u turn kali na kujirudia nilikotoka nkabaki nalaumu hizi simu za tecno,kwakwel Tecno cyo cmu,n vfaa vya mawasiliano vya kutumia ukiwa unajichanga ili kununua cmu
Ungepakua app ya ya kurudisha sms zote ungezipata bila shida.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom