Tecno sasa inapokea Updates

mostly zina updates
wengi hawafahamu set auto-updates uone!
yangu ni very Common ilikuwa 4.4.2 imejipeleka 4.4.3--->>4.4.4
pia appl zote zinaji-updates hakuna cha kuniuliza.install now,later or continuous!
Mkuu nina tecno c5 nifanyeje iwe inapata updates
 

inaonyesha hvyo
 
Unaelewa maana ya updating mkuu???? Hiyo siyo update, hiyo ni issue tu ya kufix bugs na mambo fulani madogo madogo. Kureceive update maana yake simu iwe na uwezo wa kuhama kutoka version moja ya android kwenda version nyingine pindi ikitoka version mpya kitu ambacho hakiwezi kutokea kwa tecno kamwe!!!
 

Ha ha ha kwanza mkuu tecno hata hizo fixing ya bugs awali ilikuwa haipokei, ukipata simu ina matatizo basi hakuna jinsi unakufa nayo.

Lakn habari njema nikuwa tecno C8 kwa mara ya kwanza officially tecno wametangaza kuipa uptodate mwezi ujao ya iyo OS mpya ya android marshmallow kama sikosei.
 
Mimi natumia tecno camon c8 mbn sijaona tatizo. Nasubir update ya marshmallow ifikapo Februari 2016
 
nimefatilia huu uzi as if nafatilia movie, sterling ni chief mkwawa.
nashukuru sana kwa elimu yako kwetu, wengine tulikuwa na upeo finyu sana kuhusu simu,
pia wana wale wataalamu mnaodebaitiana na chief mkwawa nawashukuru, keep it up
 
Mkuu, vipi kuhusu x-bo v6?
 
Haziitwi "uptodates". Zinaitwa "Updates!"
 
copy hilo folder la com.theonegames.g kwenda android then obb halafu lipaste hapo then install apk yako (nafkiri hio iliondikwa mod ndio ina cheat) then utaona game linaanza bila kudownload data
Thanks chief,ila nlkua nakuulza et sim ikikaa mda mref bila kutumika inaharibika?,coz nna mpango wa kwenda boarding simu natak kuiacha nyumban
 
Naona mnavimbishiana misuli tu... Sioni mnachofaidi kwenye huu mjadala.

Cjutii kumiliki hii simu kwani haijanikosesha chochote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…