Dumelang
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 3,267
- 5,854
Kwa wale waliokuwa wanaibeza tecno kwamba ukinunua umenunua uwezi pata Uptodates hii ni habari mbaya kwenu maana mmepunguza point moja ya kubeza.
Tecno C8 tangu niinunue imepata OTA uptodate mara mbili, huku ikija na fix bugs kadhaa, uptodate ya mwisho nimeipata leo.
Ambapo uptodate ya leo imeongeza option ya prefered network option na mnara ulikuwa kwenye rollipop ukisoma 3G muda wote ambapo ilisemekana ni katika ku optimize matumizi ya bettery lkn sasa unaweza chagua na ukaona H, H+
Ilkuja na version 5.0 lkn sasa ime upgrade to 5.2
Hope tutafika. Nasikia Phantom 5 pia ni balaa.
Tecno C8 tangu niinunue imepata OTA uptodate mara mbili, huku ikija na fix bugs kadhaa, uptodate ya mwisho nimeipata leo.
Ambapo uptodate ya leo imeongeza option ya prefered network option na mnara ulikuwa kwenye rollipop ukisoma 3G muda wote ambapo ilisemekana ni katika ku optimize matumizi ya bettery lkn sasa unaweza chagua na ukaona H, H+
Ilkuja na version 5.0 lkn sasa ime upgrade to 5.2
Hope tutafika. Nasikia Phantom 5 pia ni balaa.