Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,188
- 3,378
watu wangu wa nguvu natumaini mambo yenu salama
wadau team tecno natumiani wazima nyie, sisi tunaenjoy mambo ya kwenye simu za milioni kwa kulipia laki zetu kadhaa, tecno inavyonipa raha yani acha tu kama ni kamera hakuna utofauti na simu za mamilioni, kama na battery tecno hatunaga shida ya kuchaji-chaji kila mara, kama ni internet basi ni spidi ya radi unadownload mavideo yaani bando haikai, kwa ufupi simu zet zinatupa kila kitu kama zile simu za milioni.
Mzigo mpya umefika bongo "TECNO PHANTOM Z MINI" unaipata kwa 430,000/=tsh unapata hii mashine ni "kiboko cha mkoloni" siisifii kwa maneno wacha nikupe uhalisia wake
ina android 4.4
display yake ni 720 x 1280 pixels hapa ni mwendo wa kuangalia video za 720p hd
ina ukubwa wa space 16gb!!! hapa mwisho wa kazi
simu ina spidi kwa Processor yenye 1.4GHz octa-core Cortex-A7 CPU yani hapa hakuna migando
speed ya internet inafika 21 mbps hapa kudownload mb 1 kwa sekunde ni kawaida sana kwa nchi yetu.
camera 13MP, up to 4128 x 3096-pixel pictures, HDR hana tofauti sana na zile simu za milioni
camera ya mbele 8mp
vingine soma hapa Tecno Phantom Z mini Specifications, Features And Price
kwa hiyo kifupi hii simu jamani its worth it
wadau team tecno natumiani wazima nyie, sisi tunaenjoy mambo ya kwenye simu za milioni kwa kulipia laki zetu kadhaa, tecno inavyonipa raha yani acha tu kama ni kamera hakuna utofauti na simu za mamilioni, kama na battery tecno hatunaga shida ya kuchaji-chaji kila mara, kama ni internet basi ni spidi ya radi unadownload mavideo yaani bando haikai, kwa ufupi simu zet zinatupa kila kitu kama zile simu za milioni.
Mzigo mpya umefika bongo "TECNO PHANTOM Z MINI" unaipata kwa 430,000/=tsh unapata hii mashine ni "kiboko cha mkoloni" siisifii kwa maneno wacha nikupe uhalisia wake
ina android 4.4
display yake ni 720 x 1280 pixels hapa ni mwendo wa kuangalia video za 720p hd
ina ukubwa wa space 16gb!!! hapa mwisho wa kazi
simu ina spidi kwa Processor yenye 1.4GHz octa-core Cortex-A7 CPU yani hapa hakuna migando
speed ya internet inafika 21 mbps hapa kudownload mb 1 kwa sekunde ni kawaida sana kwa nchi yetu.
camera 13MP, up to 4128 x 3096-pixel pictures, HDR hana tofauti sana na zile simu za milioni
camera ya mbele 8mp
vingine soma hapa Tecno Phantom Z mini Specifications, Features And Price
kwa hiyo kifupi hii simu jamani its worth it