Tecno Phantom A VS Samsung Galaxy S4 - Utofauti na Usawa!

Tecno Phantom A VS Samsung Galaxy S4 - Utofauti na Usawa!

God knows

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2011
Posts
276
Reaction score
173
Katika siku za hivi karibuni, kumekuwa na maswali mengi, ubishani na maneno kwamba Tecno Phantom A na Samsung Galaxy S4 zinafanana na zina uwezo sawa.

Kutokana na hilo, nimeona ni vyema nikazifananisha simu hizi kwa mwonekano na uwezo pia ili kama unataka kununua, ufanye maamuzi sahihi!

Simu zenyewe ndo hizo hapo chini kama unavyoziona kwenye picha!
2-samsung-vs-phantom.png

Kwanza nitaanza kuzifananisha bei.
Tecno Phantom A: Tshs. 358,442.75
Samsung Galaxy S4: Tshs. 935,933.87

Hizi ni bei za makadirio. Bei zinaweza kuwa tofauti kulingana na mahali ulipo na duka pia. Ila kwa wastani, Samsung Galaxy S4 ina bei mara 3 zaidi ya Tecno Phantom A.

Tecno Phantom A ni nene Zaidi kuliko Samsung Galaxy S4. Pia ni nzito na ndefu Zaidi kuliko Samsung Galaxy S4.

Simu zote mbili zina screen za nchi 5. Resolution zake zipo kama hivi:
Tecno Phantom A: 1220 X 720
Samsung Galaxy S4: 1920 X 1080

Tofauti inapokuja kati ya hizi simu mbili ni Teknolojia iliyotumika katika kutengeneza screen zake. Samsung Galaxy S4 ina Super Amoled Screen wakati Techno Phantom A inatumia TFT Technology. Hii inamaanisha kwamba Display ya Samsung ipo sharp Zaidi. Ila kama haupo sensitive sana, ni ngumu kuona utofauti katika mwonekano wa vioo vya simu hizi.

Sasa ngoja tuongelee Camera za simu hizi zote mbili:

Samsung Galaxy S4:

  • Camera ya nyuma in 13 MegaPixel na inaweza ku-record video katika full High Definition. Ya mbele ina 2 MegaPixel.
  • Software ya Camera imeongezewa features nyingi pia.

Tecno Phantom A:

  • Camera ya nyuma ina 8 MegaPixel na ya mbele ina 1.2 MegaPixel. Camera hii ya nyuma inauwezo sawa na Camera zinazopatikana kwenye simu maarufu kama vile IPhone 4s, 5s na 5c. Sio mbaya kwa matumizi ya kawaida ingawa quality inakuwa chini kidogo ukifananisha na picha iliyopigwa kwa Samsung Galaxy S4.
  • Software ya Camera ni ya kawaida ambayo originally inakuja kwenye Android bila features zozote zilizoongezwa.

Sasa ni vyema tukatazama Operating Systems kwenye simu zote mbili. Simu zote hizi ni za Android 4.2. Ila Samsunga Galaxy S4 inakuja na Android 4.2.2 na Tecno Phantom A inakuja na Android 4.2.1.

Android inayopatikana kwenye Samsung Galaxy inakuja na Features & Customizations nyingi ambazo zimeongezwa ambazo hizo zinaipa look na feel ya Samsung.

Kwa upande wa pili, Android ya kwenye Tecno Phantom A, inakaribia kuwa sawa na Android Halisi inayotolewa na Google. Hawajafanya customizations ili angalau ilete mwonekano wa Ki-tecno Zaidi. Labda kwenye matoleo yajayo itafanyiwa marekebisho ingawa hata sasa bado inaonekana kuwa sexy!

Technical Specifications:
Tecno Phantom A:
Tecno Phantom ina Dual – Core Processor ambapo kila Core ina 1.2 GHz. RAM yake ni 1GB. Uwezo huu kwa simu ni wa kawaida na ni mzuri pia kwa shughuli za kila siku. Pia inafaa kwa kuchezea ma-game mazito kwa wale gamers.

Samsung Galaxy S4:
Kwa upande wa Samsung Galaxy S4, uwezo wake huku ni amazing. Ina processor yenye 8 cores. Cores 4 za kwanza kila mmoja ina uwezo wa 1.6 GHz na Cores 4 zinazobaki kila mmoja ina 1.2 GHz. RAM yake ni 2GB.

Specifications hizi ni Zaidi ya mahitaji ya simu. Sijui kama kuna Application yeyote ya simu duniani inayohitaji simu ya uwezo mkubwa kiasi hiki. Mimi naweza kusema ni wastage na labda ndo inayochangia simu hii kuwa na bei kubwa.

Kuwa na simu hii ni sawa na kubeba Computer kubwa na kutembea nayo barabarani!
Note: Kwa wageni kwenye teknolojia.

Tunaposema Processor ina Dual Core Processor, tunamaanisha kwamba ndani ya processor moja, kuna vi-processor vidogo viwili. Hii ina maana kwamba kupata speed kuu ya simu yako, unazidisha hiyo 1.2 kwa Tecno mara 2.

Kwa maana hiyo hiyo, Samsung Galaxy S4 ina vi-processor 8 ndani yake.

Hitimisho:
Nikitakiwa leo kununua simu, basi nitanunua Tecno Phantom A. Hii ni kwa sababu inafanya vitu vyote ambavyo Samsung Galaxy S4 inafanya. Pia inapatikana kwa bei ndogo na inaruhusu kuweka line 2 kwa wakati mmoja.

Kwa mtazamo wangu, kumiliki Samsung Galaxy S4 ni sawa na kuchezea hela. Labda kwa wale ndugu zangu akina Ngosha na Wahaya ambao kuwa na kitu cha gharama kunamaanisha High Status, hawa inawafaa hii Samsung Galaxy S4!
Nawasilisha.
 
Mkuu nimekupata sana kwa ufafanuzi wako. Je, stability ya operating system zake vipi?
 
Katika siku za hivi karibuni, kumekuwa na maswali mengi, ubishani na maneno kwamba Tecno Phantom A na Samsung Galaxy S4 zinafanana na zina uwezo sawa.

Kutokana na hilo, nimeona ni vyema nikazifananisha simu hizi kwa mwonekano na uwezo pia ili kama unataka kununua, ufanye maamuzi sahihi!

Simu zenyewe ndo hizo hapo chini kama unavyoziona kwenye picha!
View attachment 135107

Kwanza nitaanza kuzifananisha bei.
Tecno Phantom A: Tshs. 358,442.75
Samsung Galaxy S4: Tshs. 935,933.87

Hizi ni bei za makadirio. Bei zinaweza kuwa tofauti kulingana na mahali ulipo na duka pia. Ila kwa wastani, Samsung Galaxy S4 ina bei mara 3 zaidi ya Tecno Phantom A.

Tecno Phantom A ni nene Zaidi kuliko Samsung Galaxy S4. Pia ni nzito na ndefu Zaidi kuliko Samsung Galaxy S4.

Simu zote mbili zina screen za nchi 5. Resolution zake zipo kama hivi:
Tecno Phantom A: 1220 X 720
Samsung Galaxy S4: 1920 X 1080

Tofauti inapokuja kati ya hizi simu mbili ni Teknolojia iliyotumika katika kutengeneza screen zake. Samsung Galaxy S4 ina Super Amoled Screen wakati Techno Phantom A inatumia TFT Technology. Hii inamaanisha kwamba Display ya Samsung ipo sharp Zaidi. Ila kama haupo sensitive sana, ni ngumu kuona utofauti katika mwonekano wa vioo vya simu hizi.

Sasa ngoja tuongelee Camera za simu hizi zote mbili:

Samsung Galaxy S4:

  • Camera ya nyuma in 13 MegaPixel na inaweza ku-record video katika full High Definition. Ya mbele ina 2 MegaPixel.
  • Software ya Camera imeongezewa features nyingi pia.

Tecno Phantom A:

  • Camera ya nyuma ina 8 MegaPixel na ya mbele ina 1.2 MegaPixel. Camera hii ya nyuma inauwezo sawa na Camera zinazopatikana kwenye simu maarufu kama vile IPhone 4s, 5s na 5c. Sio mbaya kwa matumizi ya kawaida ingawa quality inakuwa chini kidogo ukifananisha na picha iliyopigwa kwa Samsung Galaxy S4.
  • Software ya Camera ni ya kawaida ambayo originally inakuja kwenye Android bila features zozote zilizoongezwa.

Sasa ni vyema tukatazama Operating Systems kwenye simu zote mbili. Simu zote hizi ni za Android 4.2. Ila Samsunga Galaxy S4 inakuja na Android 4.2.2 na Tecno Phantom A inakuja na Android 4.2.1.

Android inayopatikana kwenye Samsung Galaxy inakuja na Features & Customizations nyingi ambazo zimeongezwa ambazo hizo zinaipa look na feel ya Samsung.

Kwa upande wa pili, Android ya kwenye Tecno Phantom A, inakaribia kuwa sawa na Android Halisi inayotolewa na Google. Hawajafanya customizations ili angalau ilete mwonekano wa Ki-tecno Zaidi. Labda kwenye matoleo yajayo itafanyiwa marekebisho ingawa hata sasa bado inaonekana kuwa sexy!

Technical Specifications:
Tecno Phantom A:
Tecno Phantom ina Dual – Core Processor ambapo kila Core ina 1.2 GHz. RAM yake ni 1GB. Uwezo huu kwa simu ni wa kawaida na ni mzuri pia kwa shughuli za kila siku. Pia inafaa kwa kuchezea ma-game mazito kwa wale gamers.

Samsung Galaxy S4:
Kwa upande wa Samsung Galaxy S4, uwezo wake huku ni amazing. Ina processor yenye 8 cores. Cores 4 za kwanza kila mmoja ina uwezo wa 1.6 GHz na Cores 4 zinazobaki kila mmoja ina 1.2 GHz. RAM yake ni 2GB.

Specifications hizi ni Zaidi ya mahitaji ya simu. Sijui kama kuna Application yeyote ya simu duniani inayohitaji simu ya uwezo mkubwa kiasi hiki. Mimi naweza kusema ni wastage na labda ndo inayochangia simu hii kuwa na bei kubwa.

Kuwa na simu hii ni sawa na kubeba Computer kubwa na kutembea nayo barabarani!
Note: Kwa wageni kwenye teknolojia.

Tunaposema Processor ina Dual Core Processor, tunamaanisha kwamba ndani ya processor moja, kuna vi-processor vidogo viwili. Hii ina maana kwamba kupata speed kuu ya simu yako, unazidisha hiyo 1.2 kwa Tecno mara 2.

Kwa maana hiyo hiyo, Samsung Galaxy S4 ina vi-processor 8 ndani yake.

Hitimisho:
Nikitakiwa leo kununua simu, basi nitanunua Tecno Phantom A. Hii ni kwa sababu inafanya vitu vyote ambavyo Samsung Galaxy S4 inafanya. Pia inapatikana kwa bei ndogo na inaruhusu kuweka line 2 kwa wakati mmoja.

Kwa mtazamo wangu, kumiliki Samsung Galaxy S4 ni sawa na kuchezea hela. Labda kwa wale ndugu zangu akina Ngosha na Wahaya ambao kuwa na kitu cha gharama kunamaanisha High Status, hawa inawafaa hii Samsung Galaxy S4!
Nawasilisha.

Acha ujinga huo, tangu lini s4 ukaipambanisha na phantom A? Umetumwa na tecno kupigia promo? Labda pambanisha tecno yako hiyo na huawei y300 hapo ntakuelewa
 
Unapewa 24 months warranty kwa s4.....techno wanatoa ngapi????
 
Nakubaliana na aliyesema hii ni Bangi. Kama we ni mteja wa Tecno au makopo ya aina hiyo sawa ila usilazimishe watu wote ku stoop low. Si lazima umiliki simu ila ikibidi tafuta the best there is.
Si lazima uoe, lakini ikifikia hapo chukua demu mkali.
 
We unaona hiyo akili? Ni sawa unafananisha vits na vogue

Yeaah yeye katoa recommendations na kasema kununua S4 ni kuharibu hela iwapo wewe ni mtu wa chini ila unakosa uamuzi ipi ununue

Soma hitimisho vizuri hajasema s4 ni sawa na phantom .
Ila katoa recommendations zake na katoa sababu kwa nn kasema hivo...sasa haina ija kutukana sijui bange hapa ni kupresent argument kila mtu ana uelewa wake at the end of the day tunapata details na kuwasaidia ambao wako in dillema
 
Muandishi wa mada kaishadadia tecno japo kakubali samsung imeizidi kwa kila kitu...
Kama ukiamua kuwa na simu basi kuwa na as best as you can have. Yani nnaposikia high end phone ina kioo tft akili yangu uwa inaruka kuwa ni ya kichina tu.

Sisi uwa tunaangalia gharama nafuu bila kuangalia vitu vingine. Tena siku watu wanasema hawanunui majina. Ila tuache ushabiki, unapoamua kununua kitu lets say pesa unayo ya kutosha kununua chochote majina uwa yana matter,
 
Hawa wanaosema mara bangi mara sijui nini nadhani wao ndio watakuwa na matatizo kwenye akili zao!

Hivi kuna ubaya gani kufanya comparison ya products mbili na kujua ipi ni ipi!

Hata kama Samsung Galaxy ni simu maarufu, haimaanishi kwamba haitakiwi kufanyiwa comparison na simu nyingine.

:dance:Proverbs 26:4-14 "When arguing with fools, don't answer their foolish argument...":dance:
 
Nakubaliana na aliyesema hii ni Bangi. Kama we ni mteja wa Tecno au makopo ya aina hiyo sawa ila usilazimishe watu wote ku stoop low. Si lazima umiliki simu ila ikibidi tafuta the best there is.
Si lazima uoe, lakini ikifikia hapo chukua demu mkali.

Kwa mtazamo wangu, kumiliki Samsung Galaxy S4 ni sawa na kuchezea hela. Labda kwa wale ndugu zangu akina Ngosha na Wahaya ambao kuwa na kitu cha gharama kunamaanisha High Status, hawa inawafaa hii Samsung Galaxy S4!
Nawasilisha.

Mkuu mpinga shetani sitaki kuita hii ni debate bali ni kwamba ktk debate unaweza ukawa unaujua ukweli lkn kuendeleza arguments na kupima mitazamo ya watu unajaribu kutete hata kama topic ni uongo na ukweli unaonekana
Naweza sema labda ndo yalikuwa malengo ya mleta mada(japo siko moyoni mwake) ila ndo ninavyoitazama hii

Yeye kadai ni upotevu wa hela sababu 8 cores ni too much bora kununua 2 cores ambazo ni cheap na ni standard features na inaweza RUN application nyingi tu
Mm nahisi hapa ni kupresent argument kama wasomi sio kuja kusema hizi ni BANGE bila FACTS watu wengine hapa sio wataalamu wa SIMU lkn nyie mnaosema BANGE basi tusaidieni tuujue ukweli juu ya haya mambo
Mleta mada kashatuonesha kuwa ni Kweli S4 iko juu ya Phantom lkn Point yake imejilaza ktk KUNUNUA S4 NI KUCHEZEA HELA
 
Hivi mpaka unaweka comparison ulijiuliza kwann Haipo hata Gsmarena... Tecno zinatumika africa zaidi kwahiyo ni cheap with low quality

Nani alishafanya comparison kama yako duniani? We ndo wa kwanza

Sema mimi sina hela si watu hawana hela na eti wanazichezea...compare na IPhone 5 basi

Na kubaliana na aliyecomment wa kwanza
 
Hivi mpaka unaweka comparison ulijiuliza kwann Haipo hata Gsmarena... Tecno zinatumika africa zaidi kwahiyo ni cheap with low quality

Nani alishafanya comparison kama yako duniani? We ndo wa kwanza

Na kubaliana na aliyecomment wa kwanza

Haaaa! haaaa! I am so much proud to be the first to compare the two Mobile Phones.

I do this because I don't want to be blinded by the Brand Names and Popularity!!!!!!
 
Back
Top Bottom