Tatizo ni TeknoTatizo nini
Mimi mmojawapo, kwani samsung na iphone hazipati matatizo,? Wanakufa binadamu itakuwa hizi simu!
Unaweza kupata kwenye maduka yoyote ya simu na wanakubadilishia hapo!! Bei ni sh elfu 25 hadi 35 hizo ni original...Maana kuna jmaa wengine ukienda wanaweza wakakuambia hela nyingi kama elfu 70 huko kuwa makini. haziuzwi hivo ni haizidi elfu 35Nitazipata wapi na linauzwa shilingi ngapi?
ThanxxUnaweza kupata kwenye maduka yoyote ya simu na wanakubadilishia hapo!! Bei ni sh elfu 25 hadi 35 hizo ni original...Maana kuna jmaa wengine ukienda wanaweza wakakuambia hela nyingi kama elfu 70 huko kuwa makini. haziuzwi hivo ni haizidi elfu 35
ThanxxUnatakiwa utumia 2,700 mAh Battery
Charger (Original) uliyonunua pamoja na simu. Ukicharge na charger tofauti na 2700mAh utaaribu Battery yako. HITIMISHO: Kama umepoteza Charge original. Tafuta mtu mwenye charge Original 2700 mAh Charger kama anazo mbili. Ukienda kununua fast charger angalia 2700mAh. NENDA TECNO SHOP KANUNUE Charger. Chunga sana fast charger nyingi za mtaani ni feki.
nenda dar ssThanxx niko morogoro