wakuu nikiwa naangalia kombe la dunia. Kipindi cha na mapumziko nimeona tangazo la toleo jipya la tecno ambayo ni tecno phantom Z.
na kwa haraka baada ya kuigoogle nimepata taarifa hizi...
octa core
processor and 16mp
camera..
mwenye taarifa zaidi atufamishe ubora na ulegevu wa hii simu.
Ahsanta.
cc
snipa chief-mkwawa C6 na wengineo wenye ufahamu.