TECNO F7(!phantom A) simu ya ukweli kwa bei nafuu

TECNO F7(!phantom A) simu ya ukweli kwa bei nafuu

Kama Nigeria zinauzwa kwa Naira 19,500 ambayo ni sawa na T sh. 197,000, iweje mtake 400,000-500,000? Huo ni wizi.
 
Kama Nigeria zinauzwa kwa Naira 19,500 ambayo ni sawa na T sh. 197,000, iweje mtake 400,000-500,000? Huo ni wizi.

Wezi Wengi Mkuuuu.... smu Zenyewe Quality Hamnaaa!! chief Mkwawa Kawasisitizia Sana Watu Kuhusu Huu Wizi Ila Hawamuelewi....

Kwa Pesa Ndogo Kuliko Hyoo Unaweza Pata Huawei Zenye Quality Kuliko Hzo Cmu Na Clone za Samsung Kibao Tuuu
 
Nimekuta Tanga tecno Fantom Lakia4
"Vox populi vox dei"
 
Kama Nigeria zinauzwa kwa Naira 19,500 ambayo ni sawa na T sh. 197,000, iweje mtake 400,000-500,000? Huo ni wizi.

kenya ni 17000 ikiiconvert kibongobongo ni 342,000
 
Back
Top Bottom