Tecno Camon 15 yazinduliwa rasmi

Tecno simu za wanyonge,itabaki kuwa ya wanyonge kutokana na teknolojia yake,huwezi linganisha na Apple au Samsung au Nokia.
Ila isingekuwa tecno wanyonge wangeishia kuona smartphone kwenye TV.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna tecno za laki tano na kuna samsung za laki na 70 sasa iweje tuishie kuona kwenye tv? Kama mtu kaweza nunua tecno ya laki mbili atashindwaje nunua samsung A2 from india?
 
njaa bwana mbaya sana. Kisa hela mtu anaweza akasifia kua corona imeleta manufaa duniani kwani emissions zimepungua.
 
Wapuuzi kweli.. Wapelekeeni bongo movies wauza sura insta.

Camera my a****$
 
Hivyo mnanishauri niuze samsung galaxy note 10+ yangu ninunue tecno canon 15? Maana nilikua na mpango niuze hii niongezee ninunue s20 utra.

Ushauri tafadhali
hii s20 ultra ina miujiza gani mbona kila mtu anaizungumzia. Kuna jamaangu ana s10 pia anataka auze ahamamie huko huko?
 
Alitakiwa aseme Processor iliyopo ni ya uwezo gani, screen resolution, MiliAmpshour za battery, upana na urefu wa simu, material ya simu nk, ila anaongea blaa blaa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ