Technology ya Radio station

Technology ya Radio station

mnyonda

Member
Joined
Apr 5, 2018
Posts
35
Reaction score
7
Poleni na majukumu kama kichwa kinavyojieleza kwa wajuzi wa technology kama ilivyo TV station hivi Hakuna kifaa kama dish ambacho kinacombine radio zote za Tanzania almost kinakuwa kinaradio zaidi ya 100 na kushika vizuri radio zote uwe popote Tanzania ahsanteni wajameni nimewaza tu kazi njema
 
ngoja nguli waje hapa sina cha kukusaidia saizi ya kuungana na ww kuwasubiria
 
Poleni na majukumu kama kichwa kinavyojieleza kwa wajuzi wa technology kama ilivyo TV station hivi Hakuna kifaa kama dish ambacho kinacombine radio zote za Tanzania almost kinakuwa kinaradio zaidi ya 100 na kushika vizuri radio zote uwe popote Tanzania ahsanteni wajameni nimewaza tu kazi njema
Hakuna.Asante kazi njema.
 
Kishimbusi chako cha TV, kinabeba signal za redio ukipata wasaa nzuri decoder ya Dstv na Azam zimebeba redio na tv
 
Decoda zote ziwe za kulipia na si za kulipia zote zinakuwa na radio mbalimbali mkuu pamoja na kuwa sio zote
 
Kishimbusi chako cha TV, kinabeba signal za redio ukipata wasaa nzuri decoder ya Dstv na Azam zimebeba redio na tv
Ni kweli mkuu ila radio za mikoani hazipo nyingi za Dar tu
 
Back
Top Bottom