Pamoja na mapungufu yote yaliyopo bungeni, ila kuna moja huwa linanikera kupindukia, ukishafika ule wakati wa ndioooooooooo na siooooooo? Hivi kweli kwa karne hii na maendeleo ya technology bado kushout kuna tija?
My take, kwanini isitengenezwe system ya upigaji kura kutoka kwenye kiti cha mbunge? Hii itasaidia hata wale wanaotaka kusema Siooooo lakini wanaogopa kuonekana wasaliti wa wenzao waliokaaa nae?
Wataalamu wa IT mtusaidie is possible to do that? A button on MP' s table with a display in front giving real time votes?
Pamoja na mapungufu yote yaliyopo bungeni, ila kuna moja huwa linanikera kupindukia, ukishafika ule wakati wa ndioooooooooo na siooooooo? Hivi kweli kwa karne hii na maendeleo ya technology bado kushout kuna tija?
My take, kwanini isitengenezwe system ya upigaji kura kutoka kwenye kiti cha mbunge? Hii itasaidia hata wale wanaotaka kusema Siooooo lakini wanaogopa kuonekana wasaliti wa wenzao waliokaaa nae?
Wataalamu wa IT mtusaidie is possible to do that? A button on MP' s table with a display in front giving real time votes?
Pamoja na mapungufu yote yaliyopo bungeni, ila kuna moja huwa linanikera kupindukia, ukishafika ule wakati wa ndioooooooooo na siooooooo? Hivi kweli kwa karne hii na maendeleo ya technology bado kushout kuna tija?
My take, kwanini isitengenezwe system ya upigaji kura kutoka kwenye kiti cha mbunge? Hii itasaidia hata wale wanaotaka kusema Siooooo lakini wanaogopa kuonekana wasaliti wa wenzao waliokaaa nae?
Wataalamu wa IT mtusaidie is possible to do that? A button on MP' s table with a display in front giving real time votes?
Pamoja na mapungufu yote yaliyopo bungeni, ila kuna moja huwa linanikera kupindukia, ukishafika ule wakati wa ndioooooooooo na siooooooo? Hivi kweli kwa karne hii na maendeleo ya technology bado kushout kuna tija?
My take, kwanini isitengenezwe system ya upigaji kura kutoka kwenye kiti cha mbunge? Hii itasaidia hata wale wanaotaka kusema Siooooo lakini wanaogopa kuonekana wasaliti wa wenzao waliokaaa nae?
Wataalamu wa IT mtusaidie is possible to do that? A button on MP' s table with a display in front giving real time votes?
Pamoja na mapungufu yote yaliyopo bungeni, ila kuna moja huwa linanikera kupindukia, ukishafika ule wakati wa ndioooooooooo na siooooooo? Hivi kweli kwa karne hii na maendeleo ya technology bado kushout kuna tija?
My take, kwanini isitengenezwe system ya upigaji kura kutoka kwenye kiti cha mbunge? Hii itasaidia hata wale wanaotaka kusema Siooooo lakini wanaogopa kuonekana wasaliti wa wenzao waliokaaa nae?
Wataalamu wa IT mtusaidie is possible to do that? A button on MP' s table with a display in front giving real time votes?
Pamoja na mapungufu yote yaliyopo bungeni, ila kuna moja huwa linanikera kupindukia, ukishafika ule wakati wa ndioooooooooo na siooooooo? Hivi kweli kwa karne hii na maendeleo ya technology bado kushout kuna tija?
My take, kwanini isitengenezwe system ya upigaji kura kutoka kwenye kiti cha mbunge? Hii itasaidia hata wale wanaotaka kusema Siooooo lakini wanaogopa kuonekana wasaliti wa wenzao waliokaaa nae?
Wataalamu wa IT mtusaidie is possible to do that? A button on MP' s table with a display in front giving real time votes?
Pamoja na mapungufu yote yaliyopo bungeni, ila kuna moja huwa linanikera kupindukia, ukishafika ule wakati wa ndioooooooooo na siooooooo? Hivi kweli kwa karne hii na maendeleo ya technology bado kushout kuna tija?
My take, kwanini isitengenezwe system ya upigaji kura kutoka kwenye kiti cha mbunge? Hii itasaidia hata wale wanaotaka kusema Siooooo lakini wanaogopa kuonekana wasaliti wa wenzao waliokaaa nae?
Wataalamu wa IT mtusaidie is possible to do that? A button on MP' s table with a display in front giving real time votes?