TeamLowassa hatuna chetu Ikulu!


Mtazamo wako
 

unauxhahidi wowot wa rushwa iliyo tolewa na mh.?
 


Umerogwa??? watu gani wana mapenzi na Lowasa???
 
Kabisa! Mimi na mafisadi ni kama ardhi na mawingu

Tatizo watanzania tulio wengi tunasumbuliwa na ushabiki, huyo huyo wanaomshabikia sasa ivi awe raisi, ndo yule yule waliomvalia njuga kipindi kile cha scandal kuwa hawamtaki ajiuzuru, leo imekuwaje wanamuona anafaa kuiongoza nchi? Watanzania tumerogwa, na aliyeturoga kafa.
 

KWELI NCHI HII NI YA KISULTAN/

KUTOKA KWA BABA NA SASA KWA MWANA

THAT'S MEAN ITATOKA KWA JMK
NA KWENDA KWA RIDHWAN SIKU MOJA/

NI WAKATI SASA WAJUMBE WA NEC KULITIZAMA HILI KWA UMAKINI

TUONDOLEENI USULTANI HUU!ii
 
ni ajali ya kisiasa uyu ndg amepata. kweli siasa upepo ndo anapotea midomon mwa watu iv iv et
 
At least makongoro kuliko huyo lowasa, mi kiongozi akishakuwa na kashfa tu either ya kusingiziwa au lah uwa sina hamu nae kabisa

ha ha ha skendo za lowassa ni nyingi mno halafu mwenyewe wala hakanushi anachukulia simple tu.
 

Nakataa kwa 100%

iwaje kama suala lipo confirmed na wagombea wazidi kuchukua form na kutangaza nia?

hiyo form in gharama!

pili,hao hao wapo ndani ya system haiwezekani washindwe litambua hilo!
 

Kura ya ndio for Makongoro, he is the one.
 
Mimi sipendi fisadi lakini nitamchagua EL ili akiingia magogoni amweke lupango mkulu! Nauhakika EL atafanya kama Mwanawasa alivyomfundisha adabu mtangulizi wake kule Zambia. Watz tukunje ngudo na kumchagua EL ili haki ifanyike kwa yote mkulu aliyotutendea.
 

Acha kujidanganya, hakina wa kufanya kitu kama hicho kwa tz hii tena eti kutoka ccm, never.
 
ha ha ha skendo za lowassa ni nyingi mno halafu mwenyewe wala hakanushi anachukulia simple tu.

Angetulia zake tu amalize uzee wake salama, na kwa afya yake ile na midomo ya watanzania ilivyo migumu, watamuua kwa pressure mzee wa watu
 
Hii ikitokea itakuwa safi sana. Vyama tawala Africa viliangushwa kutokana na kufanya makosa na nguvu kubwa ya upinzania. Kile walichokifanya KANU Ikapotelea mbali ndicho kinakwenda kutokea Tanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…