TEAM LEADER WA HALOTEL NAOMBA MSAADA WAKO

Mosahe

Member
Joined
Feb 22, 2017
Posts
67
Reaction score
33
kama kuna teamleader wa HALOTEL humu naomba msaada wa file la usajili namna ya kulifungua kuna jamaa kanitumia ila maelekezo kanipa namba zake ila bahati mbaya wakati anabofya hazikutosha nimeshindwa kumpata.
Huku niliko hakuna teamleader wa kunisaidia na wateja wapo nipige kazi.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…